John Mnyika
JF-Expert Member
- Jun 16, 2006
- 713
- 1,246
John,
Thank you! We are committed to seeing an accountable conclusion to this.
Kama hawezi Uwaziri mkuu aachie ngazi na yeye. Hakuna kuendelea kufukia kichwa kwenye mchanga. Wameturudisha nyuma zaidi ya miaka 50!
Ujumbe kwa Waziri Mkuu Pinda
Mheshimiwa, katika Mkutano uliopita wa Bunge uliomba miezi mitatu kuyafanyia kazi maazimio ya Bunge kuhusu Richmond/Dowans. Sasa miezi minne imepita, naomba katika hotuba yako ya kesho ya kuhitimisha ujibu pia masuala yaliyomo kwenye makala niliyoiambatanisha.
JJ
Huu ujumbe umeenda kwa waziri mkuu au ni maoni yako kwa wana JF???
Asante sana maana nimeshanga kwny hotuba ya Kayanza sikusikia neno RICHMOND kabisaUjumbe kwa Waziri Mkuu Pinda
Mheshimiwa, katika Mkutano uliopita wa Bunge uliomba miezi mitatu kuyafanyia kazi maazimio ya Bunge kuhusu Richmond/Dowans. Sasa miezi minne imepita, naomba katika hotuba yako ya kesho ya kuhitimisha ujibu pia masuala yaliyomo kwenye makala niliyoiambatanisha.
JJ
Ujumbe kwa Waziri Mkuu Pinda
Mheshimiwa, katika Mkutano uliopita wa Bunge uliomba miezi mitatu kuyafanyia kazi maazimio ya Bunge kuhusu Richmond/Dowans. Sasa miezi minne imepita, naomba katika hotuba yako ya kesho ya kuhitimisha ujibu pia masuala yaliyomo kwenye makala niliyoiambatanisha.
JJ
Kwani Mizengo Pinda hajitakii mema mpaka aingilie mambo hayo?.
Hili suala la Richmond bado ni bichi sana kwani kundi lililotupiwa lawama linajipanga kujibu mashambulizi ikiwa ni pamoja na kuwaadhibu wote walioshiriki kuwaanika hadharani wahusika. Na kundi hili lina nguvu ya sunami, ndilo linaloendesha serikali kwa sasa pamoja na kutokuwa na Ofisi za serikali. Pinda analijua hilo hivyo sidhani kama atakuwa tayari kumwaga unga wake.
Kwa kifupi ni kwamba hakuna cha jawabu wala swali kutolewa katika hili suala.