Scaramanga
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 490
- 704
Nichukue fursa hii kwako Waziri Ulega kwa kulichukulia hili jambo kwa uharaka na hatimaye eneo moja Kigamboni limekamilika baada ya ziara yako. Ntakuwa mtovu wa fadhila bila kukushukuru kwa kusikia kilio changu.
Soma, Pia:
Soma, Pia: