Ujumbe mzito kuhusu katiba mpya kutoka katikati ya mji wa kibiashara Tunduma-Mbeya

Ujumbe mzito kuhusu katiba mpya kutoka katikati ya mji wa kibiashara Tunduma-Mbeya

mossad 03

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2013
Posts
523
Reaction score
443
Wanabodi,
nimepita mjini tunduma leo, kwenye highway inayoelekea sumbawanga kushoto naona bango/tangazo kubwa linaloonekana na kusomeka vizuri limeandikwa "KATIBA MPYA NI YA WANANCHI SI YA C.C.M,TANGANYIKA KWANZA ,TUNATAKA KURA YA SIRI",

Ukubwa wa tangazo hili(limeandikwa kwenye kitambaa cheupe kwa wino mzito mwekundu na limening'inizwa pembeni ya barabara kuu)ni sawa na yale ya serikari ya kitaifa ya maadhimisho na sherehe mbalimbali.

Nimependa sana hii kitu,,lakini kuna maswali machache ya msingi,,serikali ya eneo hili wanalichukuliaje?je huu ni msimamo wa wanatunduma wote au kikundi kidogo cha watu?
 
Hata mie nilipita hapo wiki moja iliyoipita. Ilikuwa asubuhi sana picha ya bango TUNATAKA KURA YA SIRI, haikutoka vizuri. Ni karibu na Hotel kubwa ya MIAMI
 
inaonyesha nimawazo ya wanatunduma walio wengi, isingekuwa hivyo basi tungeona bango lingine tofauti na hilo
 
TBC kila siku asubuhi kipindi cha jamboTanzania Shaaban Kisu anafanya kampeni ya serikali mbili. anaalika watu wenye mlengo mmoja tu wa serikali mbili, jambo ambalo haliwapi wananchi fursa ya kusikiliza hoja za wanaotaka serikali tatu. Je Shaaban Kisu katumwa au kuna nini? kwa nini TBC hwataki wananchi wasikilize na hoja za wanaopendekeza serikali tatu ili waweze kufanya maamuzi based on hoja?
 
TBC kila siku asubuhi kipindi cha jamboTanzania Shaaban Kisu anafanya kampeni ya serikali mbili. anaalika watu wenye mlengo mmoja tu wa serikali mbili, jambo ambalo haliwapi wananchi fursa ya kusikiliza hoja za wanaotaka serikali tatu. Je Shaaban Kisu katumwa au kuna nini? kwa nini TBC hwataki wananchi wasikilize na hoja za wanaopendekeza serikali tatu ili waweze kufanya maamuzi based on hoja?
hili mkuu liwekee thread yake ili tuweze kuichambua vizuri TBC, maana inatumika kama tv ya kikundi fulani cha watu.
 
Wanabodi,
nimepita mjini tunduma leo, kwenye highway inayoelekea sumbawanga kushoto naona bango/tangazo kubwa linaloonekana na kusomeka vizuri limeandikwa "KATIBA MPYA NI YA WANANCHI SI YA C.C.M,TANGANYIKA KWANZA ,TUNATAKA KURA YA SIRI",

Ukubwa wa tangazo hili(limeandikwa kwenye kitambaa cheupe kwa wino mzito mwekundu na limening'inizwa pembeni ya barabara kuu)ni sawa na yale ya serikari ya kitaifa ya maadhimisho na sherehe mbalimbali.

Nimependa sana hii kitu,,lakini kuna maswali machache ya msingi,,serikali ya eneo hili wanalichukuliaje?je huu ni msimamo wa wanatunduma wote au kikundi kidogo cha watu?[/QUOTE]

........wahuni
 
Wanabodi,
nimepita mjini tunduma leo, kwenye highway inayoelekea sumbawanga kushoto naona bango/tangazo kubwa linaloonekana na kusomeka vizuri limeandikwa "KATIBA MPYA NI YA WANANCHI SI YA C.C.M,TANGANYIKA KWANZA ,TUNATAKA KURA YA SIRI",

Ukubwa wa tangazo hili(limeandikwa kwenye kitambaa cheupe kwa wino mzito mwekundu na limening'inizwa pembeni ya barabara kuu)ni sawa na yale ya serikari ya kitaifa ya maadhimisho na sherehe mbalimbali.

Nimependa sana hii kitu,,lakini kuna maswali machache ya msingi,,serikali ya eneo hili wanalichukuliaje?je huu ni msimamo wa wanatunduma wote au kikundi kidogo cha watu?[/QUOTE]

........wahuni

hahahahah,,,mkuu tupe hoja zinazokufanya uamini ni wahuni na si wanatunduma wote,,,,kwa faida ya wanajamvi wote
 
Back
Top Bottom