Ujumbe mzito ndani ya See You Again - Charlie Puth Ft Wiz Khalifa

Ujumbe mzito ndani ya See You Again - Charlie Puth Ft Wiz Khalifa

Dim Ray

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2019
Posts
320
Reaction score
249
Salaam wana jamvi,

Matumaini yangu ni kwamba tuwazima tukiendelea kulisukuma gurudumu la maendeleo kujipatia cha kutia midomoni mwetu. Ukiachana na matukio mengi yaliyotokea wiki hii, cha msingi ni kumshukuru Mungu kwa kutupatia uhai; yote heri, uzima kwanza.

Leo nilitaka kuzungumzia wimbo wa See You Again uliotolewa mwaka 2015 officially, correct me if am wrong. Kuna nyimbo ambazo ukisikiliza una-connect vitu vingi vilivyokutokea kama kupoteza rafiki, jirani, mpenzi na watu unaowapenda lakini kwa huu wimbo kuna extra miles hata ukipewa beat yake tu unaweza ukatoa machozi ukisikiliza na kumvutia picha mpendwa wako alotangulia, ni asubuhi sasa nimeusikiliza almost mara tatu sasa.

NOTE: English kama inapanda utakubaliana na mimi, kuna ujumbe mzito sana

 
Huu wimbo unanifanya kurudia fast and furious za kipindi kilee,

Kumcheki Paul Walker anavyokanyaga 190km/h.
 
Huu wimbo unanifanya kurudia fast and furious za kipindi kilee,

Kumcheki Paul Walker anavyokanyaga 190km/h.
Waigizaji wa bongo wanashikilia bango nakusema tasnia inakua wakati wao wamelala
 
Waigizaji wa bongo wanashikilia bango nakusema tasnia inakua wakati wao wamelala
Kuna mambo mengi kwenye upande wa movie mpaka itulie,ila sisi hatujitoi tunafanya kwa njaa tu,
natamani siku moja aibuke mtu serious alafu aanze kutengeneza vichupa kama vya Hollywood japo kwa low budget hiyo,hiyo,
Hawa wasanii wetu wanashinda insta kujionesha, ili wajiuze, hawapo serious hata kidogo,
Wenzetu hiyo ni ajira,

ila kiufupi bongomovie bado sana, sikumbuki hata mara ya mwisho lini kucheck movie zao japo cha nyumbani.
 
Kuna mambo mengi kwenye upande wa movie mpaka itulie,ila sisi hatujitoi tunafanya kwa njaa tu,
natamani siku moja aibuke mtu serious alafu aanze kutengeneza vichupa kama vya Hollywood japo kwa low budget hiyo,hiyo,
Hawa wasanii wetu wanashinda insta kujionesha, ili wajiuze, hawapo serious hata kidogo,
Wenzetu hiyo ni ajira,

ila kiufupi bongomovie bado sana, sikumbuki hata mara ya mwisho lini kucheck movie zao japo cha nyumbani.
tungeweza kuibuka kidedea ila shida ni kwamba sisi wenye kazi zingine ndo tna mawazo ya kukuza sanaa kuliko wahusika ,wanaridhika kufanya movie kumi ambazo contents n za aina moja , vituko vingi wasanii hawaendani na uhusika ya ni mtu ana wave afu ana act kama mwanakijiji , kama tamthiliya ya Odama mfalme alikuwa na low cut ,Kantala ana tu rasta tudogo ,I felt shame 🤮🤮🤮🤮
 
Back
Top Bottom