Ujumbe wa Henry Kileo mume wa Joyce Kiria

hapo kwenye uchumba si kweli kuna watu ni wamekata utepe na hawajawahi kuwa na ma x

aache kuwasingizia watu si kila mtu ni x wa fulani kuna watu hawana x
Povu la nn mkuu, ww mkeo ulimkuta na utepe huko chini, kama hukukuta huyo ni x wa mtu na huwenda bado analiwa vile vile. Hao unao wazungumzia ww ni exceptional few people, which abvious they should be there, ila majority ni kama alivyosema bwana Kileo.
 
Mkuu, naona leo umenicheka kwasababu nimejaribu kuruka lugha ilio tuogopesha kwa kisingizio cha UMANDE... tehteehhh
Wala sijakucheka, umenipa raha sana Leo...tabasamu siku nzima.
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
 
Kunywa maji kwanza halafu uje kuthibitisha Steve Jobs alianzisha kampuni ya iphone lini na alikufa kwa kansa lini
Hebu anza ww kutujulisha ukijuacho nasi tujue tuichokijua...kama kweli unajua lakini.
 
Hivi unaelewa ulichokiandika hapa kweli?
 
Alie karibu na uyu jamaa amuangalie sana maana tumechoka taarifa za watu kujikatishia maisha yao
Huu ujumbe kama maneno ya mwisho ivi
 
hapo kwenye uchumba si kweli kuna watu ni wamekata utepe na hawajawahi kuwa na ma x

aache kuwasingizia watu si kila mtu ni x wa fulani kuna watu hawana x
utepe ndo nn bwana, nishaona jamaa kaoa bikra mwanza , bikra ana mtoto wa miaka 9 kamwacha kwa wazazi. na unajua ndoa za kiislam, mashangazi wakaja na kitambaa kina dam chapachapa vigelegele vikapigwa, kumbe changa la macho
 
Ujumbe umeeleweka,
Lakini je, huyu bado ni Mume wa yule Gumegume?
Nilidhani walishaachana hawa
Kuna tofauti ya kuachana na kutengana. Hata mimi sijui kama wameachana au wametengana...
 
Ndio amekata tamaa kabisa ya ubunge?
 
utepe ndo nn bwana, nishaona jamaa kaoa bikra mwanza , bikra ana mtoto wa miaka 9 kamwacha kwa wazazi. na unajua ndoa za kiislam, mashangazi wakaja na kitambaa kina dam chapachapa vigelegele vikapigwa, kumbe changa la macho
[emoji15] [emoji15] [emoji15] hmm!...
 
It does'nt matter how early you regret,always is too late.
 
Atafute mke, aachane na mipasho ya wanawake laivu, kuna mabinti kibao wanasubiri ndoa, yeye anabaki ana lalamika lalamika. Wanawake wameumbiwa kusaliti na kusalitiwa


Nani atakubali kuolewa na marioo???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…