Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani! We kama mimi,maisha ni haya niliyonayo, hayo ya kesho ya majaaliwa.safi joti, mimi siyo muumini wa kujipanga pia, saving kwa ajili ya kitu fulani cha future no, maisha ndio haya ninaishi sasa, ninasevu kwa kuwa haina kazi full stop,
Ndo iyo mama si at least umekunywa chai, kuna mtu ana uwezo na chai hanywi,..Joti ni mpaka uwe nayo pesa ya kula maisha. Mimi nimepata breakfast ya andazi na samaki wa kukaanga ninakula maisha kwa hali yangu
Serengeti ni bonge la RAHA, hakuna mfano. Mkuu jaribu Siku moja ninauhakika hautajutia pesa yako kubwa utakayotumia.Huyu jamaa nae kwenda serengeti Mbugan ndo anaona anakula maisha, angeenda Ibiza sijui ingekuaje..
Jikune unapojipataHuyu jamaa nae kwenda serengeti Mbugan ndo anaona anakula maisha, angeenda Ibiza sijui ingekuaje..
Anakula kulingana na uwezo wake mkuu. Ibiza ina wenyewe [emoji3]Huyu jamaa nae kwenda serengeti Mbugan ndo anaona anakula maisha, angeenda Ibiza sijui ingekuaje..