Ujumbe wa kijana anayetafutwa baada ya ajali ya jengo la Kariakoo

Ujumbe wa kijana anayetafutwa baada ya ajali ya jengo la Kariakoo

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Kaka habari za leo? Huyu ndugu yetu anaitwa Issa Issa, ni bodaboda hapa Kariakoo opposite na Msimbazi police. Siku ya jumamosi aliacha pilipiki yake kijiweni akaaga kuwa anaenda kuchukua nguo kwenye maduka yaliyopo kwenye jengo lililodondoka. Hata hivyo hakurudi.

Tumemtafuta kupitia simu zake lakini hapatikani. Tumeendelea kumtafuta maeneo mbalimbali ikiwemo kwenye hospitali zote bila mafanikio. Pikipiki yake aliiacha kijiweni ila boss wake tayari ameshaichukua.

Tunaomba yeyote atakayepata taarifa zake apige simu nambari 0713656534.

1732195839559.jpg
 
Kaka habari za leo? Huyu ndugu yetu anaitwa Issa Issa, ni bodaboda hapa Kariakoo opposite na Msimbazi police. Siku ya jumamosi aliacha pilipiki yake kijiweni akaaga kuwa anaenda kuchukua nguo kwenye maduka yaliyopo kwenye jengo lililodondoka. Hata hivyo hakurudi.

Tumemtafuta kupitia simu zake lakini hapatikani. Tumeendelea kumtafuta maeneo mbalimbali ikiwemo kwenye hospitali zote bila mafanikio. Pikipiki yake aliiacha kijiweni ila boss wake tayari ameshaichukua.

Tunaomba yeyote atakayepata taarifa zake apige simu nambari 0713656534.

Mungu amejua kutuweza hapo tu. Yani siku ya kufa hutaijua na huwezi kukwepa. Utakiendea mwenyewe kifo chako kilipo and that will be your doomsday.
 
Back
Top Bottom