Ujumbe wa leo kwa Watanzania: When the major statement is wrong, whatever good the minor statements might be, the conclusion will be wrong

Ujumbe wa leo kwa Watanzania: When the major statement is wrong, whatever good the minor statements might be, the conclusion will be wrong

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Pale JUU kama kuna uchaguzi wa hovyo, mbaya, mmeweka mtu asiyefaa, ambaye hana sifa eg, hana uwezo wa kufikiri from higher mental faculties, kutoa maamuzi ya busara, kutenda, kusimamia lile analoliamini ambalo logic, common sense na intuition vinamwongoza, vyote vitalavyochaguliwa kutoka hapo JUU vitakuwa vibovu. Na maamuzi yote yatakayofanywa na hao wateule yatakuwa mabovu.

Unaweza kulemba lemba hapo kati kati kama machawa wanacvyofanya, lakini mwisho utakuwa mbaya.

Akina Chalamila, Makonda na wenzao kama hao, wanalemba lemba, but in the end the CONCLUSION will be wrong kama sasa tulivyo!
 
Sugu Moto Chini sasa anasimamia mikoa 5 ya Kanda ya Nyasa 😂😂🔥

Kwa Sera ya Chadema ya Majimbo Sugu Moto Chini Ndiye Boss wa The Big Five

Kwako Lucas 😂
 
Pale JUU kama kuna uchaguzi wa hovyo, mbaya, mmeweka mtu asiyefaa, ambaye hana sifa eg, hana uwezo wa kufikiri from higher mental faculties, kutoa maamuzi ya busara, kutenda, kusimamia lile analoliamini ambalo logic , common sense na intuition vinamwongoza, vyote vitalavyochaguliwa kutoka hapo JUU vitakuwa vibovu. Na maamuzi yote yatakayofanywa na hao wateule yatakuwa mabovu.

Unaweza kuleba lemba hapo kati kati kama machawa wanacvyofanya, lakini mwisho utakuwa mbaya.

Akina Chalamila, Makonda na wenzao kama hao, wanalemba lemba, but in the end the CONCLUSION will be wrong kama sasa tulivyo!
Kweli mkuu
Stament yako in cut across many sectotrs

Bila katiba mzuritunapata raisi mbovu

Raisi mbovu anachagua wa baraza la mawaziri wabovu na watumishi wabovu
 
Tumekuelewa mkuu, na kwauzoefu huu.... sidhani kama watakujakurudia kosa kama hili tena..😜
Lakini pia, nyumba ni yamama ila kaya huongozwa na baba.
 
Dah mkuu una akili sana ...acha ninywe serengeti yangu baridi sana...
 
Back
Top Bottom