Ujumbe wa Levinus Kidamabi katika "Barua ya Wazi kwa Emmanuel Nchimbi kuhusu Kutekwa Nikiwa Ndani ya Gari la Mwenyekiti wa UVCCM, Bariadi"

Pole sana ukionja nyama ya binadamu huwezi kuacha sasa wanaanza kula wenyewe kwa wenyewe hatari kubwa sana
 
Afadhali kama mmegeukiana wenyewe kwa wenyewe.
 
Kijana wee sio Mnyantuzu? Huwa hao jamaa hawalilii ovyo, serkali ni qewe mwenyewe unaweza kutoa hukumu. Sheria unazo. Kaa kimya baadae shughulika naye perpendicular at 90°
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…