IshaLubuva
JF-Expert Member
- Dec 4, 2008
- 250
- 11
Ni kawaida kila inapofika nyakati za mwisho wa mwaka watu hutumiana ujumbe kwa njia ya simu na mitandao kutakiana kheri ya Noeli na mwaka mpya. Binafsi nilipikea ujumbe mwingi tu, lakini kati ya yote niliyoipokea, ujumbe huu ulinipa burudani. Ujumbe unasomeka hivi:
"Naomba uniazime sh. 300,000/- tu nina shida nazo hasa siku ya kesho. Help me please, I know you have them. Alisikika mlevi mmoja akiiomba mashine ya ATM saa 6 usiku!!.
Khaa!!! ulivyostuka ulifikiri nakuomba wewe, ukaanza kuandaa fiksi za kunitolea nje!. Nakutakia kheri ya mwaka mpya 2011"
Huu ujumbe nilivyoupokea kwanza nilisoma hadi kwenye sentensi yenye rangi nyekundu, fikiria ilikuwa ni usiku tarehe 31/12/2010, nikabloo mapigo. Nikaanza kutafakari hiyo sentensi yenye rangi nyekundu kwa jinsi ilivyokuwa na uzito. Nilivyosoma sms kwa mara ya pili hadi mwindo ndo nikapumua na kujua kwamba jamaa alikuwa kanitega.
Hebu na wewe lete uzoefu wa sms ulizokumbana nazo
"Naomba uniazime sh. 300,000/- tu nina shida nazo hasa siku ya kesho. Help me please, I know you have them. Alisikika mlevi mmoja akiiomba mashine ya ATM saa 6 usiku!!.
Khaa!!! ulivyostuka ulifikiri nakuomba wewe, ukaanza kuandaa fiksi za kunitolea nje!. Nakutakia kheri ya mwaka mpya 2011"
Huu ujumbe nilivyoupokea kwanza nilisoma hadi kwenye sentensi yenye rangi nyekundu, fikiria ilikuwa ni usiku tarehe 31/12/2010, nikabloo mapigo. Nikaanza kutafakari hiyo sentensi yenye rangi nyekundu kwa jinsi ilivyokuwa na uzito. Nilivyosoma sms kwa mara ya pili hadi mwindo ndo nikapumua na kujua kwamba jamaa alikuwa kanitega.
Hebu na wewe lete uzoefu wa sms ulizokumbana nazo