Ujumbe Wangu Wa Leo Usiku

Ile comment kule kuhusu mikwaju ya Dunia imenichekesha sana na kutafakarisha

Dunia haihitaji watu lelemama πŸ˜„
Acha kabisa mkuu..
Kama upo mjini ndio utajua kabisa dunia haina huruma.

Wewe unamhurimia mlemavu, ila kuna viumbe vinamtapeli na kutajirika kupitia yeye, unaviombea vipate laana ila vyenyewe vinaongeza maghorofa, magari na majumba makali.
Utaishia kusema watakua na mwisho mbaya end of the day wewe ndo unakata moto kablda hata ya kuuona huo mwisho wao.
Hii dunia acha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…