gumboot
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 263
- 93
Habari wanajamvi,
Wapendwa wana MMU,hebu wenye uzoefu na uzazi tupeane elimu ushauri pia,miaka hii uzazi hasa wakati wa kujifungua wamama wengi wamekuwa wakifanyiwa operation na hata kupoteza maisha.Japo tendo lenyewe linajulikana kama natural process kwa baadhi ya watu ila failure pia inachukua nafasi kubwa.Hebu tusaidiane ili kuweka familia zetu sawa.
Wapendwa wana MMU,hebu wenye uzoefu na uzazi tupeane elimu ushauri pia,miaka hii uzazi hasa wakati wa kujifungua wamama wengi wamekuwa wakifanyiwa operation na hata kupoteza maisha.Japo tendo lenyewe linajulikana kama natural process kwa baadhi ya watu ila failure pia inachukua nafasi kubwa.Hebu tusaidiane ili kuweka familia zetu sawa.