KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Wakuu bila shaka ukiacha wakazi wa Dar wengine wote MMEOGA.
Kuna kitu kimenishangaza sana.Nililipia kifurushi Dstv lakini Channel hazikufunga ndani ya siku 9.Kila nikiwasha TV yangu nilipokea ujumbe huu THIS CHANELL IS BLOCKED BECAUSE IT MAY NOT BE PART OF YOUR PACKAGE (mwisho wa kunukuu).
Nilipiga simu Huduma kwa wateja kila siku ndani ya siku zote hizo 9 sikupata huduma yeyote, mmoja atakwambia.
Zima TV then uwashe tena
Mwingne mara zima Decoder yako washa tena
Mwingine ananiambia angalia upande wa signal
Yaani kiufupi ndani ya siku tisa nmehudumiwa wateja kama 13 wote hawaelewi kitu wanatakiwa kufanya.
Mwisho leo ndo nimepiga simu akapokea mdada nmemtajia namba ya kadi ndani ya sekundi tu ashatatua tatzo.
Nmebaki najiulza huyu dada kasoma nje ya Nchi au vipi?Mbna yupo tofaut na wengine?kwanini DSTV wasiajiri watu competent kama huyu?
DSTV punguzeni wahudumu VILAZA(wakubahatisha)wateja wenu tuna mambo mengi.
Kuna kitu kimenishangaza sana.Nililipia kifurushi Dstv lakini Channel hazikufunga ndani ya siku 9.Kila nikiwasha TV yangu nilipokea ujumbe huu THIS CHANELL IS BLOCKED BECAUSE IT MAY NOT BE PART OF YOUR PACKAGE (mwisho wa kunukuu).
Nilipiga simu Huduma kwa wateja kila siku ndani ya siku zote hizo 9 sikupata huduma yeyote, mmoja atakwambia.
Zima TV then uwashe tena
Mwingne mara zima Decoder yako washa tena
Mwingine ananiambia angalia upande wa signal
Yaani kiufupi ndani ya siku tisa nmehudumiwa wateja kama 13 wote hawaelewi kitu wanatakiwa kufanya.
Mwisho leo ndo nimepiga simu akapokea mdada nmemtajia namba ya kadi ndani ya sekundi tu ashatatua tatzo.
Nmebaki najiulza huyu dada kasoma nje ya Nchi au vipi?Mbna yupo tofaut na wengine?kwanini DSTV wasiajiri watu competent kama huyu?
DSTV punguzeni wahudumu VILAZA(wakubahatisha)wateja wenu tuna mambo mengi.