Mi mwenyewe mbona sijachanja na sijafa? Wala sijawah ata kulazwa kisa Covid?Msukule wa Magufuli bana, unaokota propaganda mtandaoni ili kuthibitisha mungu wako wa chato alikuwa sahihi? ππ
Mbona Samia na wakuu wa majeshi na watumishi wa serikali hawajafa? Mbona covid sasa hivi imeisha? Nini kimeimaliza kama sio chanjo?
Misukule ya mungu mtu wa chatoMsukule wa Magufuli bana, unaokota propaganda mtandaoni ili kuthibitisha mungu wako wa chato alikuwa sahihi? [emoji23][emoji23]
Mbona Samia na wakuu wa majeshi na watumishi wa serikali hawajafa? Mbona covid sasa hivi imeisha? Nini kimeimaliza kama sio chanjo?
Misukule ya mungu mtu wa chato