UK LL.B; worth it?

UK LL.B; worth it?

Joined
Oct 11, 2014
Posts
13
Reaction score
4
Heri ya krismasi wanajukwaa wenzangu!

Mimi ni mwananfunzi wa sekondari na niko mwaka wangu wa mwisho wa A-levels(ninasoma an international equivalent of the Tzian A-levels; IB).

Nimekuwa nikiifuatilia hii forum ya sheria kwa kina sana, na ningependa kuwashukuru kwa kuumpa mwanafunzi huyu motivation ya kusoma sheria kama undergraduate. I am at a point in my studies ambapo inabidi nianze kufikiria vyuo vya kusoma.

Given the international qualifications nitakazoachieve, nimekuwa exposed to vyuo vingi vya kimataifa, lakini ambapo nimepapania ni Uingereza. Swali langu ni hili, Je nikisoma LL.B ya uingereza, katika university of good standing, nitaweza kurudi Tanzania na nikaajiriwa?

Asanteni.
 
Kwa upande wangu mimi skushauri hata sku moja ukasome LLB nchi za nje.

Kama unataka kuwa mwanasheria mzuri kwa ajili ya ku practise hapa Tanzania basi soma hapa Tanzania upate basis toka chini pia itakusaidia kipindi cha Law school. Nimeweza kushuhudia watu wengi waliosoma nje wanavyopata shida ya kuelewa misingi ya sheria. Kama utakuwa na mpango wa ku practise huko nje sawa. That's all.
 
Thanks for the reply.
Ninaweza kupata insight ya wanasheria waliosoma nje for 1st degree pia?
 
Uingereza huko unazungumzia common law kimsingi kunatofauti tofauti lakini sio nyingi sana na pia ukizicheki law firms kadhaa dar es salaam profiles zao zinaonesha kuna watu wamesoma nje undergraduate na masters pia na wana practise Tanzania, ila nimeshangazwa yani unasoma IB, maana yake wazazi wako wako vizuri halafu unaulizwa kama unaweza kuajiriwa seriously?
 
Ningependa kusema tu kwamba sio kama siheshimu vyuo vya Tanzania, mimi ningependa kupata "international experience" huku ninasoma. Lyamber, wazazi wangu ni watu wa kawaida sana(wote wawili ni madaktari, na wanafanya kazi tz). Ningejua kuna pakukimbilia ninapokosa kazi nisinge uliza swali. Anyway, siku hizi hata matajiri wanakosa ajira.
 
Last edited by a moderator:
Ningependa kusema tu kwamba sio kama siheshimu vyuo vya Tanzania, mimi ningependa kupata "international experience" huku ninasoma. Lyamber, wazazi wangu ni watu wa kawaida sana(wote wawili ni madaktari, na wanafanya kazi tz). Ningejua kuna pakukimbilia ninapokosa kazi nisinge uliza swali. Anyway, siku hizi hata matajiri wanakosa ajira.

Mkuu naona umeshindwa kunielewa wala sina tatizo lolote lile hata usingeheshimu vyuo vya Tanzania,kitu ambacho hujaonesha bias yoyote ile kwa vyuo vya Tanzania, sema nimeshangazwa kua umesoea IB, maana kwa Tanzania nafikiri ni IST na ISM zinatoa elimu ya design hiyo sasa naonaga wengi waliopitaga huko IST na the likes hua wana ambitions za kujiajiri au kuajiri wengine na ukijumlisha vyuo vya mbele huko ndo kabisa mtu unakua fresh kabisa maana sidhani kama vyuo vya huko mbeleni wanafundisha watu kufikiri within the box(being employed) but rather outside the box ila kwa kifupi unaweza pata admission tu Law School mkuu
 
Uingereza huko unazungumzia common law kimsingi kunatofauti tofauti lakini sio nyingi sana na pia ukizicheki law firms kadhaa dar es salaam profiles zao zinaonesha kuna watu wamesoma nje undergraduate na masters pia na wana practise Tanzania, ila nimeshangazwa yani unasoma IB, maana yake wazazi wako wako vizuri halafu unaulizwa kama unaweza kuajiriwa seriously?
inategemeana na aina ya sheria unazotaka kuja kupractice hapa tz. kama utakuwa mtu wa corporate laws, nakushauri usome nje UK, ila kama unataka kuwa lawyer wa mambo yote, soma tz. coroprate laws ni za kimataifa nikimaanisha kuwa popote utakapo enda hasa kwenye common law system mambo ni yaleyale, na ukisoma huko pengine ukafanya na internship kwenye lawfirm za huko utakuwa mzuri kushughulikia wawekezaji wanaokuja tz. kufanya kazi na wateja wa nje pia huwa wanakuwa na imani zaidi na lawyer aliyesoma nje.
 
Back
Top Bottom