Tiss wenyewe ndio hawa wanafanya kazi ya ccmTanzania pamoja na kujiaminisha Mbona ni nchi ya amani mbona deal kama hizi zinatupiga chenga?🤔
Application yake ya asylum France imeshakuwa rejected, hana sifa za kuwa mkimbizi. Ukishapata lock la USA Ulaya pagumu.
Rwanda Wana tamaa tu, ardhi yenyewe haijai kwenye kiganja.Bongo wapigaji wengi, kwa £120m wakimbizi watajengewa nyumba 10 za vyumba sita na vyoo uani.
Wanaoomba ukimbizi Uingereza watapelekwa Rwanda wakati maombi yao yanafikiriwa. Serikali ya Rwanda itapokea £120m kwa maandalizi ya makazi na huduma za wakimbizi hao.
Ukubwa wa Singapore ukoje?Uk wachoyo sanaa, sema hawana Ardhi, Rwanda pia hawana ardhi yetu macho
How?Kagame aangalie sana hili swala, ni tamu sana ila ndilo linaweza kua ndio mwanzo wa mwisho wa utawala
Ukubwa wa Singapore ukoje?
How?
Ni watafutaji wa Maisha Bora.Wanaokimbilia UK ni watu wa aina ipi
SA xenophebia watamkula supuDuuh alitaka kukimbia kumbe, si aende SA