UK to sign deal to send asylum seekers to Rwanda for processing

Wanaoomba ukimbizi Uingereza watapelekwa Rwanda wakati maombi yao yanafikiriwa. Serikali ya Rwanda itapokea £120m kwa maandalizi ya makazi na huduma za wakimbizi hao.
 
Tanzania pamoja na kujiaminisha ni nchi ya amani mbona deal kama hizi zinatupiga chenga?🤔
 
Kagame aangalie sana hili swala, ni tamu sana ila ndilo linaweza kua ndio mwanzo wa mwisho wa utawala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…