Cheology
JF-Expert Member
- Jun 25, 2022
- 384
- 601
Hapa ieleweke si Ile hali ya kuvamiwa, ni umekaa amepora amesepa, na akikulia timing anakuumiza.
Si ishu tu ya uhitaji wa sungusungu akili zichanganywe katika level ya kufikir nje ya box.
Wengi hawajui level of crimes, baadhi ya nchi ulimwenguni hakukaliki kutokana kiwango kilichopitiliza wizi,ukabaji na uuaji(mauaji).
Police department has a little duty here.
Tushauriane na ikiwapendeza wanausalama wetu wachukue ushauri.
Nadhani ni vzr Sasa askari wetu wapite mara kwa mara mitaani hasa maeneo yanayotajwa Sana.
Paul makonda anamuacha Kwa mbali Sana huyu mkulu wa Jiji. Sasa hivi hata shida ikitokea Huna wankuwasikiana nae. Hapa wengi mnajua Haina haja yakusema mengi. Wa kumpigia simu una dharula aje hakuna. I swear.
Hili eneo lipo kimyakimya lkn limeathirika Sana.
Si ishu tu ya uhitaji wa sungusungu akili zichanganywe katika level ya kufikir nje ya box.
Wengi hawajui level of crimes, baadhi ya nchi ulimwenguni hakukaliki kutokana kiwango kilichopitiliza wizi,ukabaji na uuaji(mauaji).
Police department has a little duty here.
Tushauriane na ikiwapendeza wanausalama wetu wachukue ushauri.
Nadhani ni vzr Sasa askari wetu wapite mara kwa mara mitaani hasa maeneo yanayotajwa Sana.
Paul makonda anamuacha Kwa mbali Sana huyu mkulu wa Jiji. Sasa hivi hata shida ikitokea Huna wankuwasikiana nae. Hapa wengi mnajua Haina haja yakusema mengi. Wa kumpigia simu una dharula aje hakuna. I swear.
Hili eneo lipo kimyakimya lkn limeathirika Sana.