Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Tanzania yenye zaidi ya 65% ya Wakristo iwe mwanachama wa OIC can't you see Baba wa Taifa was genius?
 
Ola vipi awamu yatano harufu hii hainukii?
 
Waliotangulia kusoma sana Nchi Hii ni Wahaya,Wachagga na Wanyakyusa wakati wanasoma wengi wetu katika makabila yao walikuwa wakizuiliwa kwenda shule wakibakia kuchunga Ng'ombe na kudumisha mila kwa ujumla wake.SASA WAKULAUMIWA HAPO NI NANI??
Na saivi ambao baba zako walichunga ngombe na wao wamesoma ivyo usistajaabu kuwakuta kila ofisi kama ilivyokuwa kwa makabila yaliyosoma wakati wa mkoloni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…