Ukabila upendeleo mahakama(kitengo cha uhasibu)

Na wachaga ndio first class TRA.

mnatuhofia kwa utendaji kazi wetu makini na uliotukuka baada ya majungu mengi mmefanikiwa kutuondoa ingawaje sifa zote tunazo, mliowaweka mmeshaona majibu yake bila shaka mpaka sasa watumishi wa serikali kuu mshahara hamjapata!!!! kisa uswahili mwingi katika ukusanyaji wa mapato. Maji yatajitenga na mafuta na tunaostahili post zetu za haki mtaturudishia maana mambo yameshawashinda ! mlifikiri rahisi mangi kuwakusanyia ngawira?
 

wewe tumeshakujua dawa yako iko jikoni sisi ndio wazawa
 


"Lonestriker" au "sniper"? Nahisi umeguswa kwa sababu wa nyumbani. Theme na maudhui ya thread yanabaki palepale: kwa sababu kiongozi wa idara ni ****** basi asilimia kubwa ya walio chini yake wawe Wakwere? Ikiwa ni hivyo, mimi ntaenda mbali zaidi, wote walio chini yangu watatoka kijijini kwangu na si vinginevyo.
 
Mahakama ni chombo cha kutoa haki kwa walio nje na ndani ya Mahakama yenyewe. Watu wanakuja Mahakamani kutafuta haki, huyu mwandishi anamalalamiko yake, inawezekana yakawa ni kweli au si kweli hadi hapo yatakapothibitishwa kwamba ni kweli. Ili yathibitishwe na kutolewa hukumu kama baadhi walivyofanya tayari, lazima mtuhumiwa aulizwe na ajibu hizo tuhuma. Namshauri mwandishi aitumie Mahakama vizuri kama watu wa nje wanavyofanya ili apate haki anayo stahili. Abraham Lincoln alisema “Discourage litigation. Persuade your neighbors to compromise whenever you can. As a peacemaker the lawyer has superior opportunity of being a good man. There will still be business enough.” Hawa watu wamejaa Mahakamani, watumie ndugu yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…