Ukaguzi hadi vyooni!! Mulugo anaonyesha nini?

dah! nimesoma wangu! aisee jamaa ni nomaa! kama kweli acha tu naye azijue mbinu za wezi wenzie!

kwa faida ipi? elimu inahitaji mtu makini na mwenye uwezo + maarifa yakutosha!!
 
...huyu Mulugo dish linayumba mno yaani hadi sasa "no or bad signals!"
maana yake hana imani na wakurugenz, maafisa elimu wala waratibu, kaamua kukagua alikokua anaficha nondo zake"


kama tutamuuliza ni siku gani Tz ilizaliwa, tutapata ya uhuru wa ngome ya Mugabe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…