Ukaguzi wa Vyeti na Tofauti ya Umri: Je, Inaweza Kusababisha Fukuzwa Kazi?

Ukaguzi wa Vyeti na Tofauti ya Umri: Je, Inaweza Kusababisha Fukuzwa Kazi?

lee jack

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2017
Posts
1,062
Reaction score
1,871
Kuna ndugu yangu alipata kazi sehemu lakini kwenye kigezo cha umri alisema pungufu sasa kuna ukaguzi wa vyeti je inaweza kumletea shida akafukuzwa kazi kutokana na umri kua tofauti aliosema na uliopo kwenye cheti.

Shukran
 
Aende kuchkua kadi ya kuzaliwa mpya hafu akaape mahakamani kuukana ule umri wa mara ya kwañza.

Vipi kuhusu nida maana alipoanza kazi hakuulizwa document yoyote zaidi ya cv tuu
 
Kama kigezo kilikua umri na alidanganya ajiandae kisaikolojia. Kama ni ngozi nyeupe atapata tabu Sana lakini Kama ni akina sisi aandae fungu
 
Hakuna cha ndugu ni wewe. Sasa mkuu una tofauti gani na vyeti feki alowatumbua jpm?

Kuna umuhimu wa kukagua vyeti kila mwaka taasisi zote mpaka serikalini.

Kawaambie ukweli uwe huru waamue wenyewe kukuacha au wakufikuze.
 
Hakuna cha ndugu ni wewe. Sasa mkuu una tofauti gani na vyeti feki alowatumbua jpm?

Kuna umuhimu wa kukagua vyeti kila mwaka taasisi zote mpaka serikalini.

Kawaambie ukweli uwe huru waamue wenyewe kukuacha au wakufikuze.

Sawa
 
Muhusika mkuu hapo niww mwenyewe.
ilamm chakukushauli hapo nikwamba umuhimu wanafasi yako hapo ndio utakupa kete yaushindi wa100%
 
Na kwenye NIDA je na vyeti vya chuo
kama inawezekana atengeneze cheti kipya cha kuzaliwa ,alafu ataenda NIDA kuomba kufanyiwa marekebisho ya mwaka wa kuzaliwa kwa kujaza fomu zao,mbona marekebisho huwa yanafanyika tu,maana anayejua umri sahihi wa mtoto ni mama.
 
Back
Top Bottom