Habari za leo wana JF,
Naomba msaada wa juu ya sheria mpya inasema nini kuhusu kukaimu nafasi ya mtu naje una haki gani katika hiyo nafasi interms of salary and other benefits, nimejaribu kupitia hii sheria mpya ila sioni ni wapi ipo na pia calculation zake zikoje,
Msaada wenu unahitajika Pleeeeeeeeeeees!
Naomba msaada wa juu ya sheria mpya inasema nini kuhusu kukaimu nafasi ya mtu naje una haki gani katika hiyo nafasi interms of salary and other benefits, nimejaribu kupitia hii sheria mpya ila sioni ni wapi ipo na pia calculation zake zikoje,
Msaada wenu unahitajika Pleeeeeeeeeeees!