Mi siko conversant sana na sheria mpya, lakn all in all inategemeana na rank.Kwa mahali ninapofanyia kazi mimi ukikaimu nafasi ya bosi wako uko entitled kupata 75% ya mshahara wa bosi, pamoja na allowances zote chini ya nafasi ya mkubwa huyo.Habari za leo wana JF,
Naomba msaada wa juu ya sheria mpya inasema nini kuhusu kukaimu nafasi ya mtu naje una haki gani katika hiyo nafasi interms of salary and other benefits, nimejaribu kupitia hii sheria mpya ila sioni ni wapi ipo na pia calculation zake zikoje,
Msaada wenu unahitajika Pleeeeeeeeeeees!
Asante PJ,Mi siko conversant sana na sheria mpya, lakn all in all inategemeana na rank.Kwa mahali ninapofanyia kazi mimi ukikaimu nafasi ya bosi wako uko entitled kupata 75% ya mshahara wa bosi, pamoja na allowances zote chini ya nafasi ya mkubwa huyo.
Mtoa hoja, kibebii, hasemi kama ameridhika na jibu au la!
Buchanan! I salute U!
nimejifunza,
ila naomba msaada zaidi, hapa naona ni standing order for Public service vipi watu wa private sectors eg NGOs?
Nashukuru sana kwa msaada wako. Samahani kuchelewa kujibu nilijipa mapumziko kipindi hiki cha sikukuu!:smile-big:
Kwa upande wa Private Sector, inategemeana na mkataba wako na mwajiri wako, hakuna Sheria inayo-regulate mafao yahusuyo kukaimu wa sekta binafsi, as far as I know!
Buchanan,L.15: Posts Carrying Acting Allowance:
1. Acting Allowance is payable to a public service servant authorized to act in the Superlative Substantive (SS) Post. SS posts shall include:
(a) in the case of a Ministry/ Independent Department, Assistant Director and above or their equivalent,
(b) in the case of Region, Assistant Administrative Secretary and above,
(c) in the case of District, District Administrative Secretary/ and
(d) in the case of Local Government Authority, Head of Department and above.
Hata Mimi nahinja majibu hapaBuchanan,
Mkuu, hili lilikuwa jibu zuri sana.... nilikuwa natafuta majibu kuhusu acting allowance kupitia Google ikanileta hapa! Thanks !
Nina swali la nyongeza:
Definition ya SS posts naona zinaishia kwenye maeneo manne tuu, ie from the Ministry level to the Local Govt level.
Je, kwenye level ya mashirika na taasisi za serikali ni nafasi zipi zinakuwa considered to be SS Posts?
Natanguliza shukurani.