mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Wana JF
Baada ya Mama Yetu Rais na Chief kutema nyongo kwa makundi yanayoendelea kuandaa kuvuruga mipango yake ya sasa ya kuboresha nchi na kuondoa makondokonda makubwa pamoja na vidonda vilivyoachwa na serikali tangulizi, nupende tu kusema basi kifo rasmi cha Ccm asilia wanaojinasibu kama wazalendo na Ccm Chotara wahamuaji haramu walionunulika kuunga juhudi.
Vifo hivi vya CCM asilia na CCM Chotara vyote vimetokana na kuwa na makundi na kusahau wajibu wao kama viongozi, wapo wale aliowataja HP kama kundi la wahuni ambao wanatakiwa kumaliza mapema ili nchi ivuke naye akasahau kuwa alishiriki kununua wahuni waliotengeneza CCM chotara, katika CCM chotara na CCM asilia lilizaliwa kundi jingine CCM KB, hili ni kundi likilokuwa na madaraka makubwa mno hata waziri kwao alikuwa si mali kitu, lilitokana na vijana wakorofi wanaotii mamlaka lakini wakiyapindisha sana kuchukua mali za dhuruma.
CCM KB=CCM Kibaka kundi hili nalo limeanza Kufa baada ya mmoja kufungwa mwingine bado masikio popo kusikia kama kunaweza kutokea la kutokea, mwingine alionyesha dharau mapema kwa kutaka mabango yaandike matusi kwenye ujio wa mwenye nchi, unga ukamfunika uso sasa analamba unga kama nyoka.
Kutokana na Chief kuwa mjanja sana na kuwaelewa watu, CCM Chawa wameanza kujitokeza sana, hawa waliharibu sana baada ya kupewa madaraka wakajichotea ukwasi wa ajabu sasa wanataka kurudi Chief akawakwamisha kwa kufufua kesi kutoka kwa CAG, nao CHAWA hawa uenda tukawaona kizimbani.
Baada ya Mama Yetu Rais na Chief kutema nyongo kwa makundi yanayoendelea kuandaa kuvuruga mipango yake ya sasa ya kuboresha nchi na kuondoa makondokonda makubwa pamoja na vidonda vilivyoachwa na serikali tangulizi, nupende tu kusema basi kifo rasmi cha Ccm asilia wanaojinasibu kama wazalendo na Ccm Chotara wahamuaji haramu walionunulika kuunga juhudi.
Vifo hivi vya CCM asilia na CCM Chotara vyote vimetokana na kuwa na makundi na kusahau wajibu wao kama viongozi, wapo wale aliowataja HP kama kundi la wahuni ambao wanatakiwa kumaliza mapema ili nchi ivuke naye akasahau kuwa alishiriki kununua wahuni waliotengeneza CCM chotara, katika CCM chotara na CCM asilia lilizaliwa kundi jingine CCM KB, hili ni kundi likilokuwa na madaraka makubwa mno hata waziri kwao alikuwa si mali kitu, lilitokana na vijana wakorofi wanaotii mamlaka lakini wakiyapindisha sana kuchukua mali za dhuruma.
CCM KB=CCM Kibaka kundi hili nalo limeanza Kufa baada ya mmoja kufungwa mwingine bado masikio popo kusikia kama kunaweza kutokea la kutokea, mwingine alionyesha dharau mapema kwa kutaka mabango yaandike matusi kwenye ujio wa mwenye nchi, unga ukamfunika uso sasa analamba unga kama nyoka.
Kutokana na Chief kuwa mjanja sana na kuwaelewa watu, CCM Chawa wameanza kujitokeza sana, hawa waliharibu sana baada ya kupewa madaraka wakajichotea ukwasi wa ajabu sasa wanataka kurudi Chief akawakwamisha kwa kufufua kesi kutoka kwa CAG, nao CHAWA hawa uenda tukawaona kizimbani.