Ukamataji Bodaboda Salendar Bridge unatupa changamoto wafanyabiashra hiyo

Epson_LQ

Member
Joined
Jan 11, 2017
Posts
26
Reaction score
3
Habari zenu wadau,

Dah hii iko vipi kuhusu ukamataji wa bodaboda kwenda posta yaani ukipita na pikipiki tu wanakamata especially pale salendar bridge kwa sisi ambao tunafanya biashara ndogo inaleta changamoto kumuwahi mteja.
 
Habari zenu wadau..
Dah hii iko vp kuhusu ukamataji wa bodaboda kwenda posta.. yaani ukipita na pikipiki tu wanakamata especially pale salendar bridge.. kwa sisi ambao tunafanya biashara ndogo inaleta changamoto kumuwahi mteja.
Do hatari walianza dereva na abira wote wavae helmet.
 
Bora hata wangetoa vibali vya watu wawili kupanda pikipiki kwenda posta
 
Sawa sawa maana madereva wa bodaboda wengi ni WAPUMBAVU wanasababisha ajari kizembe na watu wanazidi kufa na kupata ulemavu
 
Serikali ipo sawa kuzuia bodaboda kwenda .....ukitembea kwenye majiji makubwa hukutani na aina yotote ya bodaboda hata bajaj....kitanachotumika ni Tex tu

Hizo boda boda zenu pelekeni kimala mwisho

Na nyie mkubali mabadiliko
 
Naunga mkono hoja ... Bodaboda mwisho kimara...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…