Dah hii iko vipi kuhusu ukamataji wa bodaboda kwenda posta yaani ukipita na pikipiki tu wanakamata especially pale salendar bridge kwa sisi ambao tunafanya biashara ndogo inaleta changamoto kumuwahi mteja.
Habari zenu wadau..
Dah hii iko vp kuhusu ukamataji wa bodaboda kwenda posta.. yaani ukipita na pikipiki tu wanakamata especially pale salendar bridge.. kwa sisi ambao tunafanya biashara ndogo inaleta changamoto kumuwahi mteja.
Serikali ipo sawa kuzuia bodaboda kwenda .....ukitembea kwenye majiji makubwa hukutani na aina yotote ya bodaboda hata bajaj....kitanachotumika ni Tex tu