holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
Nimetembea karibia mikoa yote Tanzania,hali ni ile ile,ukosefu wa mvua.
Mikoa yenye mvua za wastani nchini ni Dar,Kigoma,Kagera,pamoja na Lukwa,kingine ni tia maji tia maji tu.
Kwa upande wa kilimo cha mpunga wakulima wameandika hamna. Mahindi ni kwa wale waliowahi kulima,ila wale wenzangu na mimi wameambulia patupu,mazao yamekaushwa na jua kali,hata kama ukiwasha moto shambani, moto unawaka vizuri tu.hakuna matumaini kabisa.
Kuna dada yangu alikuwa Katavi akahamia Luhogi Morogoro kwa ajiri ya kilimo sasa amehama tena kutokana na jua kali,ameenda Mpanda kulima angalau maharage mwishoni mwa msimu huu. Hali ni mbaya sana
Kutokana na hali hii Tanzania inakabiliwa na njaa kali sana huku ukame utazisakama jamii nyingi ambazo hazina maji ya bomba na zitathirika pakubwa,
Wakuu,inatubidi tujipange mapema,tuhifadhi akiba ya chakula kwani tunakoelekea sihitaji kusimulia.
Sudan,Ethiopia,Elitrea,na kwingineko tunajua hupigwa na majanga ya ukame na njaa,sasa ni zamu yetu
Tujipange.
Mikoa yenye mvua za wastani nchini ni Dar,Kigoma,Kagera,pamoja na Lukwa,kingine ni tia maji tia maji tu.
Kwa upande wa kilimo cha mpunga wakulima wameandika hamna. Mahindi ni kwa wale waliowahi kulima,ila wale wenzangu na mimi wameambulia patupu,mazao yamekaushwa na jua kali,hata kama ukiwasha moto shambani, moto unawaka vizuri tu.hakuna matumaini kabisa.
Kuna dada yangu alikuwa Katavi akahamia Luhogi Morogoro kwa ajiri ya kilimo sasa amehama tena kutokana na jua kali,ameenda Mpanda kulima angalau maharage mwishoni mwa msimu huu. Hali ni mbaya sana
Kutokana na hali hii Tanzania inakabiliwa na njaa kali sana huku ukame utazisakama jamii nyingi ambazo hazina maji ya bomba na zitathirika pakubwa,
Wakuu,inatubidi tujipange mapema,tuhifadhi akiba ya chakula kwani tunakoelekea sihitaji kusimulia.
Sudan,Ethiopia,Elitrea,na kwingineko tunajua hupigwa na majanga ya ukame na njaa,sasa ni zamu yetu
Tujipange.