Ukanda wa Pwani kwa umbea ni hatari

Ukanda wa Pwani kwa umbea ni hatari

LUKAMA

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
1,117
Reaction score
1,343
Yaani nipo mkoa x wa pwani ya Tanzania watu wahuku ni hatari kwaumbea, kupigana na kurogana, watu hawa wote ni majirani zangu na wate waabudu dini ya mudi.

Me nimejitokea mkoani huko ambako kila mtu hana time na mwenzake, wapo vizuri kwa kulazimisha urafiki ili wapate kukusema vizuri na kukugombanisha.

Ukishakua rafiki wao wanaanza kukufundi ushirika wa kwenda kwa waganga daa ikifika hatua hii huwa nachoka kabisa.

Afu dini hii ya Mudi na ushirika mbona vinaenda sambamba sana au mimi ndo na fikiri vibaya hapa nilipo nisha hama nyumba ya kwanza mama mwenye nyumba alikuwa analazimisha urafiki kwa mke wangu na wife nae hakutaka hayo mambo akawa anatuchukia nikaona isiwe tabu nika hama.

Hapa nilipo wa kristo tupo kama wa 3 hatuna hayo mambo na wote tuna toka mkoani na wenyewe wapo 3 ni washirikina hatari kitu kidogo tu wamenda kwa mganga.

Note: povu linaruhusiwa.
 
Mzee acha unaa
Ukienda Kanda yote ya usukumani Wana kitu kinaitwa Nzengo ambacho wanafatiliana kushinda Kanda yoyote hapa bongo.

Uchawi kule ndio chuo kikuu iwe kahama, Masumbwe, iwe Geita ama Ntuzu au kule Maswa.

Kusengenyana na kusemana huoni ndani na ukiwa busy au kumaind mambo yako wanaona unaringa.
 
Ishi nao kwa akiri,hawachelewi kuloga haoo kwa sababa za kishenzii....wao ngumi hawawezi wanaloga jombaaa. Tena ninavyokuona mh Mungu tu akulinde maana hawapendi kuupuuzwa misimamo yao.
 
Mzee acha unaa
Ukienda Kanda yote ya usukumani Wana kitu kinaitwa Nzengo ambacho wanafatiliana kushinda Kanda yoyote hapa bongo.

Uchawi kule ndio chuo kikuu iwe kahama, Masumbwe, iwe Geita ama Ntuzu au kule Maswa.

Kusengenyana na kusemana huoni ndani na ukiwa busy au kumaind mambo yako wanaona unaringa.
Umedanganya Kwingi,umepatia ntuzu tu huko uchawi nakubalii.....ila Kuna pisiiiii hatariiii.
 
Pwani usenge mwingi Sanaa,demu akikupenda hata kama unamkeo utamwachaa tu anakuroga hushauliki akili kwakee tu. Afu et kuku wangu mpaka mudi aje anichiinjiee daaadekii.
 
Yaani nipo mkoa x wa pwani ya Tanzania watu wahuku ni hatari kwaumbea, kupigana na kurogana, watu hawa wote ni majirani zangu na wate waabudu dini ya mudi.

Me nimejitokea mkoani huko ambako kila mtu hana time na mwenzake, wapo vizuri kwa kulazimisha urafiki ili wapate kukusema vizuri na kukugombanisha.

Ukishakua rafiki wao wanaanza kukufundi ushirika wa kwenda kwa waganga daa ikifika hatua hii huwa nachoka kabisa.

Afu dini hii ya Mudi na ushirika mbona vinaenda sambamba sana au mimi ndo na fikiri vibaya hapa nilipo nisha hama nyumba ya kwanza mama mwenye nyumba alikuwa analazimisha urafiki kwa mke wangu na wife nae hakutaka hayo mambo akawa anatuchukia nikaona isiwe tabu nika hama.

Hapa nilipo wa kristo tupo kama wa 3 hatuna hayo mambo na wote tuna toka mkoani na wenyewe wapo 3 ni washirikina hatari kitu kidogo tu wamenda kwa mganga.

Note: povu linaruhusiwa.
Ushirikina,umbea wao hausababishwi na wao kuwa wafuasi wa dini ya Mudi,hizo ni hulka za makabila ya pwani,
Zenj inaongoza kuwa na wafuasi wengi wa Mudi,lakini wenyeji ni wakalimu,wanaojali na hawamsemi MTU vibaya,unless ukiuke desturi zao.
 
Yaani nipo mkoa x wa pwani ya Tanzania watu wahuku ni hatari kwaumbea, kupigana na kurogana, watu hawa wote ni majirani zangu na wate waabudu dini ya mudi.

Me nimejitokea mkoani huko ambako kila mtu hana time na mwenzake, wapo vizuri kwa kulazimisha urafiki ili wapate kukusema vizuri na kukugombanisha.

Ukishakua rafiki wao wanaanza kukufundi ushirika wa kwenda kwa waganga daa ikifika hatua hii huwa nachoka kabisa.

Afu dini hii ya Mudi na ushirika mbona vinaenda sambamba sana au mimi ndo na fikiri vibaya hapa nilipo nisha hama nyumba ya kwanza mama mwenye nyumba alikuwa analazimisha urafiki kwa mke wangu na wife nae hakutaka hayo mambo akawa anatuchukia nikaona isiwe tabu nika hama.

Hapa nilipo wa kristo tupo kama wa 3 hatuna hayo mambo na wote tuna toka mkoani na wenyewe wapo 3 ni washirikina hatari kitu kidogo tu wamenda kwa mganga.

Note: povu linaruhusiwa.
Tafuta hela
 
Ushirikina,umbea wao hausababishwi na wao kuwa wafuasi wa dini ya Mudi,hizo ni hulka za makabila ya pwani,
Zenj inaongoza kuwa na wafuasi wengi wa Mudi,lakini wenyeji ni wakalimu,wanaojali na hawamsemi MTU vibaya,unless ukiuke desturi zao.
wakarimu sio wakalimu acha ushamba kwa ujinga huo😅😅😅
 
Wewe ndio Mbea....ndio maana umeleta umbea huku Jf
na ndioa maana wanakuja kukuletea umbea wanaofanana na wewe. Na tabia ya watu wambea ni kuwasagia wenzao!

Ukiacha umbea ndio utajua kuna makundi mengine ya wastaarabu.


Ukiwa mvuta Bangi automatically utapata wavuta bangi
Mlevi, wa karibu watakuwa walevi!
 
Umedanganya Kwingi,umepatia ntuzu tu huko uchawi nakubalii.....ila Kuna pisiiiii hatariiii.
Swali lako limehusu pisi au tabia za watu wa ukanda wa Pwani.

Hapo sijazungumzia mtu ukitoka ukanda wa Pwani madem wote wa kisukuma/ Kanda ya ziwa wanakutaka.

Niambie nimedanganya wapi?

Msisahau na tabia zenu nyingi za kishenzi shenzi mlizonazo lakini hakuna muda wa mtu kuzielezea.

Ila mkija Pwani mnaanza kukenua
 
Back
Top Bottom