Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Nazani (nadhani) mejitahidi Ila umezunguruka mpaka Kisumu ukarudia Kagera, umetumia muda mrefu kujieleza.
 
Chombo kimepinduka na hakijazama chote. Huenda kuna sehemu maji hayajafika kuleta madhara ya kifo. Baadhi ya watu wanaweza kuwa maeneo hayo.

Ingawa kadiri ya muda kwenda kiwango cha Oksijen kinapungua
kwaio unataka uniambie bd hio meli inaonekana kwa nje ya ziwa? M haya mambo sijui nilikua nimezimia tangu juz
 
Hivi daladala ikipata ajali kwa uzembe wa dereva mlevi balozi wa huo mtaa anapaswa ajiuzuru sababu ajali imetokea eneo lake? Wakati flani tuangalie maneno yetu hao uliowataja nahisi wengine umewarukia tu mkuu
 
Pia kuna matundu ya kutolea maji ndani ya kivuko kama yatakuwa upande huo uliopo nje ya maji kunauwezekano yakasaidia kuingiza hewa ndani japo ni kidogo.
Sie tunaona kwa nje kwa ndani sio padogo pale.

Pia, ukitaka kuelewa pindua bakuli/transparent kwenye beseni kabla haijazama yote kuna nafasi na hewa kidogo inakuwepo.
 
Engine room kuna watertight doors na bulkhead ambazo haziruhusu maji kuingia. Na kuwa na oil mwili mzima hii huenda imetokana na chombo kupinduka so oil imemwagika tu hovyo
we mwenyewe New member waweza ukawa ndo injinia mwenyewe, kua mkweli hapa n jf kwaio uliingia jana usiku kwenye meli Mheshmiwa?
 
Pia kuna matundu ya kutolea maji ndani ya kivuko kama yatakuwa upande huo uliopo nje ya maji kunauwezekano yakasaidia kuingiza hewa ndani japo ni kidogo.
Sie tunaona kwa nje kwa ndani sio padogo pale.

Pia, ukitaka kuelewa pindua bakuli/transparent kwenye beseni kabla haijazama yote kuna nafasi na hewa kidogo inakuwepo.
 
Nakubaliana Na wewe lakini swala la abiria kusogea sio sababu kabisa mara ngap abiria husogea kwenye vivuko visidondoke kama hiki ambavyo kimedondoka kingine mara nyingi abiria husogea mbele lakini haiwezekani abiria wote wasogee mbele wakati kunakuwa Na magari pale vilevile wafanyakazi wa vivuko hukaa pale mbele kabisa kuangalia usalama wa abiria, wajaribu fanyia uchunguzi kuna tatizo lingine hili la kusogea mbele waachane nalo mana linaonyesha jinsi Gani wanajaribu jitetea kwa wananchi
 
Hivi kwa nini katika majanga yanayowagusa wananchi moja kwa moja huwa mamlaka zinakuwa na kigugumizi cha kupata njia mbadala kwa wakati ma kwa haraka. Pangekuwa ni tukio la kusimamia hizi chaguzi za hovyo za marudio halafu siku ya kura patokee upungufu wa polisi wa kusimamia na kuongoza uchaguzi hakika hata kama ni zaidi ya 500 hiyo meli ingepatiwa mafuta kwa haraka kutoka popote ilimradi kuwahisha maaskari pamoja kwa lengo la makusudi ya matokeo kufikiwa.
Hapa ndo tunajiuliza, hawa "wanyonge" ni nani atakayewapigania kwa thati?....inanikumbusha muziki wa mwanamuziki Senzo wa "who gonna care for u"
 
Mkuu hata mm nimejawa na wasiwasi huyu muhuni tu. Nimetoka kuangalia TBC wakihojiwa watu waloo nusurika wanasema kivuko kilikuwa na watu wengi na mizigo mingi hasa magunia ya mahindi wakasema wakitoka vyema ila tatizo ni kapteni alikuwa akiongea na simu gafla akakuta amepoteza uelekeo Wa lilipo gati ndipo akakunja kivuko gafla ndoo mizigo ikaanza kuanguka na watu kuamia sehemu mmoja hivyo kupelekea kivuko kuzama
 
Unadhani viongozi wa vyama vya upinzani wangeamasisha watu wakeshe kuokoa watu kwa madaraka gani waliyonayo ktk nchi wakati serikali ya mkoa ilisitisha zoezi sbb ya giza
 
Merchant shipping act na ferries act imeziondoa meli za jeshi na meli za serikali hazitumii hizi sheria. So afisa wa sumatra ambayo kwasasa inaitwa tasac upande wa majini hawezi kwenda kukagua meli za serikali pamoja na vivuko

Ukiondoa za Jeshi ambazo hazibebi abiria, Je ni haki hizi zilizo chini ya Temesa kutokaguliwa maana tayari zinabeba abiria na zinadili na maisha ya watu na tayari zimeonyesha udhaifu kuanzia MV bukoba na hii..

Hatuoni kwamba kuna haja nazo kukaguliwa maana tayari tumeona mapungufu baada ya hi kuzama na kuleta maafa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…