Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Kuhusu OSHA anza na wewe mwenyewe hapo kazini kwako.
1: Je, umeshawahi kufanyiwa medical check up?
2: Je, wafanyakazi wanaoacha kzi wanafanyiwa exit medical chek up?
3: Je, kuna fire extinguisher hapo kazini kwenu?
4: Je, kuna emergency assembly point hapo kazini kwenu?
5: Je, kuna Health Committee hapo kazini kwenu?

Kuhusu barabarani.
1: Je, dereva anapozidisha abiria na wanasimama wengi, ulishawahi kushughuliki ahili tatizo?
2: Je, magari ambayo hayana mikanda (safety belt) ulishawahi kushughuliki hilo tatizo?
3: Je dereva anapozidisha mwendo, ulishawahi kukemea au abiria wenzako walikushangaa
 
Wakati Tukio Hili Hawakufanya Lolote Zaidi Ya Kuacha Watu Wajifie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…