Ukarabati eneo la Bagamoyo/Goba Roads junction: TANROADS hamjafanya matayarisho ya kutosha!

Ukarabati eneo la Bagamoyo/Goba Roads junction: TANROADS hamjafanya matayarisho ya kutosha!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
TANROADS wana wahandisi wabobezi wengi tu. Lakini katika ukarabati wanaotaka kufanya hapo Bagamoyo Rd/Goba rd junction, wameshindwa kabisa kufanya matayarisho ya kutosha. Leo asubuhi foleni ni mbaya mno upande wa Bagamoyo rd.

Hivi mbona hawaoni wenzao pale Mwenge-Morocco kazi zinaenda na hakunausumbufu kwa traffic kwenda na kurudi toka mjini DSM.

TANROADS tujifunze kuwa na weledi katika hili.
 
... kuna ukarabati mwingine unafanyika maeneo ya Tabata kuanzia njia ya kuingia Tusiime ni balaa. Kwanza ile lami inatinduliwa kwa sululu kupelekea mashimo na mabonge ya lami kutapakaa barabarani mwendo wa gari pale less than 1kph; foleni ya kijinga kabisa.

Pili, wakishatindua wanapotea; nahisi ndio wanaenda kuagiza materials including lami kutoka huko wanakonunua hadi meli ifike sio leo. Sijui kwanini hawakutumia mtambo maalumu wa kuondoa lami barabara ibaki smooth ili kutoleta usumbufu usio wa lazima.
 
Kwa hali halisi pale ulitaka wafanye nini zaidi ya kuweka diversion road service?

Mnaishia kulaumu tu
 
Back
Top Bottom