state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,510
Pumbafu zenu mnapaka rangi vimeli vibovu ili kutoa sadaka wananchi kama mlivyofanya kwa MV. BUKOBA?
vimeli vimechoka ile mbaya mnaanda kafara, mtaanza kufa ninyi .
Hawataibua kwa sababu meli ile iliundwa chini ya viwango Stability ilikuwa ndogo.MV Liemba ilizamishwa na wajerumani, miaka kadhaa baadae iliibuliwa na waingereza. MV bukoba kuna umuhimu wa kufikiria kuiibua na project hiyo jeshi linaweza.
Hizo ship side plate zimekatwa kwa sababu gani?Ni kuongeza gharama.Maji ya ziwa Victoria hayana chumvi ,hivyo si rahisi chuma cha meli kupata corrosion ukilinganisha na meli iliyo baharini.View attachment 1170402
Mwenyekiti wa Bodi ya Tasac, Profesa Thadeo Sata, alitoa taarifa hiyo alipozungumza na waaandishi wa habari baada ya kukamilika kwa ziara ya kukagua maendeleo ya ukarabati wa meli hizo zinazotegemewa kuanza safari mwezi Machi, 2020. Prof. Sata alisema lengo la ziara hiyo iliyoongozwa na uongozi wa kampuni ya meli MSCL ni kuhakikisha viwango vinavyohitajiwa kwa usalama wa vyombo hivyo katika kuvikarabati vinakuwa sawa.
Naye msimamizi wa miradi hiyo kutoka kampuni ya meli Mhandisi Abel Gwanafyo, alisema ujio wa bodi hiyo ni faraja kwao na kwamba watahakikisha kuwa wanafanyia kazi yale yote waliyowaelekeza.
"Viongozi hawa wamefanya ziara Kanda ya Ziwa katika kutekeleza moja ya jukumu lao kubwa la kuhakikisha kuwa viwango vinavyohitajika kwa usalama vinakuwa salama," alisema. Mhandisi Gwanafyo alisema mpaka sasa kontena 37 kati ya 56 zilizokwama katika Bandari ya Dar es Salaam, zimewasili huku zilizosalia kuendelea kuja katika bandari hiyo. Mradi wa ukarabati wa meli ya MV Victoria unaoigharimu serikali Sh. bilioni 22.
Septemba 3, 2018, Rais John Magufuli alishuhudia utiaji sahihi wa mikataba minne ya ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa chelezo, ukarabati mkubwa wa meli ya MV Victoria na MV Butiama kazi ambayo tayari inaendelea chini ya usimamizi wa kampuni ya huduma za meli MSCL.
Kaka Brother umechoka kuwepo uraiyani.? Nakutahadharisha tu.Zipi? Kusomba korosho?
Nini matumizi ya kodi zetu na nini jukumu la serikali na kwanini tuipongeze serikali kwa kutumiza wajibu wake!Bado watakwambia hajafanya kitu!
Sidhani kama wananchi wanaweza wakafungua kesi.Hawataibua kwa sababu meli ile iliundwa chini ya viwango Stability ilikuwa ndogo.
Ni scandal kubwa ,wafiwa wanaweza kuiburuza serikali mahalamani kudai fidia ya mabilioni
Stabiliry was qustionable and was ignored .They tempered with permanent stability tanks creating free surface effect on slack tanks at listing condition hence compromising the seaworthness of the ship.Sidhani kama wananchi wanaweza wakafungua kesi.
Maana meli ilikuwa inatakiwa ifanyiwe marekebisho na wabelgiji baada ya mwaka kabla ya ile ajali.
Stability ilikuwa tatizo lakini nilijaribu kufatilia kitaalamu zaidi ile meli ilikuwa na matanki 12(Ballast Tanks) chini. Ambayo mengine yalikuwa yakitumika kwa ajili ya maji safi, mafuta na ballast water.
Tatizo nadhani ilikuwa ni bad cargo plan na maofisa kushindwa kutumia vizuri zile tank.
Mistake zilizofanyika kipindi kile ilitakiwa ziwe somo la kujifunza ili kosa lisirudiwe tena.Stabiliry was qustionable and was ignored .They tempered with permanent stability tanks creating free surface effect on slack tanks at listing condition hence compromising the seaworthness of the ship.
kama tungekuwa na true separation of powers, hilo lingewezekana. Leo ni mahakama IPI inaweza to a hukumu kama hiyo! Kabla ya hukumu atasikika MKUU akisema mimi silipi, na mwingine ataitikia ' bora itokee constitutional crisis'.Hawataibua kwa sababu meli ile iliundwa chini ya viwango Stability ilikuwa ndogo.
Ni scandal kubwa ,wafiwa wanaweza kuiburuza serikali mahalamani kudai fidia ya mabilioni
Mkuu kila jambo lina mwisho,wanaichelewesha tu lakini ipo siku haki itakuwa wazi.kama tungekuwa na true separation of powers, hilo lingewezekana. Leo ni mahakama IPI inaweza to a hukumu kama hiyo! Kabla ya hukumu atasikika MKUU akisema mimi silipi, na mwingine ataitikia ' bora itokee constitutional crisis'.
ajira siku hizo hazifuati weledi, hata promotion za kada za kutaaluma zimeingiliwa na siasa. Mbali ya hayo MH!Mistake zilizofanyika kipindi kile ilitakiwa ziwe somo la kujifunza ili kosa lisirudiwe tena.
Na chombo kikitengenezwa maofisa wa uongozaji na injini wawe wanapewa elimu kuhusu chombo hicho na mtengenezaji.
wewe hilo walijua, lakini naamini kwenye nchi tangu maziko ya wahanga wa meli hiyo yalipofanyika kule Igoma, kila kitu kiliishia hapo.Hii inawezekana tayari kuna kampuni za wa Norway na Italia kazi zao ni kuibua meli zilizozama (Wrecks).
Na kama mnataka pesa wao wanainunua kama skrepa kwa bei nzuri kwa kila kilo ya chuma.