Mpira ni maandalizi mazuri, kikosi imara, good technical bench na maslahi bora kwa wachezaji na makocha hizo nyingine ni psychological gamesNouma uchawi kona zinaingia zenyewe
shushushu VIP
Utajiri wao wanafanya hivyo..refer kifo cha ajabu cha mtoto wakeTimu karibia zote wanafanya hayo mambo labda azam pekee
meneja wa uwanja atimuliwe inakuwaje vitu vinafukiwa wakati uwanja unalindwa masaa yote
Mtoto wake yupi? Au unazungumzia Khalid? Kama unazungumzia huyo basi we jamaa una imani za kishirikina balaa, mtu alikuwa speed 200 halafu apate ajali afe unaona kitu cha ajabu?Utajiri wao wanafanya hivyo..refer kifo cha ajabu cha mtoto wake
ccm wamekushika pabaya...wabaya sana hawa[emoji23] [emoji23] [emoji23]CCM watachomwa sana moto siku ya Kiama.
Waendelee tu.
Azam hakuna hayo mambo timu ya shehe ile mwendo wa dua tu....ila mpaka fuvu la kichwa hii sasa balaa na walichimbaje na kuweka humo
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Mungu anakuona ujue.Mlete fasta nimfanyie mambo
Lazima kuna shetani amepita hapa katikati...
Nikajua umeondoka na makontenaLazima kuna shetani amepita hapa katikati...
Makinikia yamenipita salama... hivi namba zangu ulidelete kabisa??
Wee zangu unazo?Makinikia yamenipita salama... hivi namba zangu ulidelete kabisa??
Nnazo sana tu... nikubeep?