Ukaribisho rasmi

Ukaribisho rasmi

Tamalisa

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
2,542
Reaction score
905
Habari zenu wana GT,

Napenda kujitambulisha tena ndani ya jukwaa hili tafadhali mnipokee. Mimi ni mgeni kabisa ila nmejifunza mengi kupitia hii Jf hata kabla ya kuingia, nmecheka sana kwa kipindi kirefu nilichokuwa nafuatila post mbalimbali katika jukwaa hili, nmejifunza mengi sana kutoka kwenu. hatimaye nikashawishika kujiregister tu, mana kuna wakati nilitamani kucomment ila ndo hivyo tena.

Majibu ya aina zote niliyaona mahali hapa, hasa yale ya kukatisha tamaa yanaleta raha pindi yanapokufanya ucheke ukiwa stressed. nimejiandaa kwa majibu yote naamini katika hayo pia kuna faida.

Tafadhali mnipokeee. Yeye aliye juu na awabariki.
 
Karibu sana Mkuu, usishangae wengine kwenye uzi huu kukuuliza wewe ni he/she kama hujisikii kujibu swali hili wapotezee tu 🙂🙂🙂 watajua mbele ya safari.
 
Kabala hatujakukaribisha kwanza tungependa kujua kwanini hujaenda kujitambulisha majukwaa mengine ukamua kuja MMU
 
Habari zenu wana GT,

Napenda kujitambulisha tena ndani ya jukwaa hili tafadhali mnipokee. Mimi ni mgeni kabisa ila nmejifunza mengi kupitia hii Jf hata kabla ya kuingia, nmecheka sana kwa kipindi kirefu nilichokuwa nafuatila post mbalimbali katika jukwaa hili, nmejifunza mengi sana kutoka kwenu. hatimaye nikashawishika kujiregister tu, mana kuna wakati nilitamani kucomment ila ndo hivyo tena.

Majibu ya aina zote niliyaona mahali hapa, hasa yale ya kukatisha tamaa yanaleta raha pindi yanapokufanya ucheke ukiwa stressed. nimejiandaa kwa majibu yote naamini katika hayo pia kuna faida.

Tafadhali mnipokeee. Yeye aliye juu na awabariki.
Tamalisa wewe ni ke/me?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom