Acha upuuzi sawadogo mmemlipa pesa yake ipi? Usikurupuke kuongea kitu usichokijua, sawadogo atakuwa analipwa pesa yake kidogo kidogo kwa makubaliano maalum, acha wenge milioni 700 cash mngezinyea wapiUlivunjwa wa sawadogo ml 7000 , sembuse ml 100!!! Akili za utopolo mnazijua wenyewe.
Milioni elfu 7 yaani bilioni 7 !Ulivunjwa wa sawadogo ml 7000 , sembuse ml 100!!! Akili za utopolo mnazijua wenyewe.
Sasa Bwashee, hiyo hela si ni ya maandalizi!! Haiwezi kutumika kuvunjia mikataba ya wachezaji.Simba wana zaidi ya bilioni 20 za maandalizi ya Super League,sasa ukisema Simba awana milioni 100 watu wanakuona zezetahira.
Maandalizi ndio hayo wa kuvunja una vunja wa kusajili unasajili.Sasa Bwashee, hiyo hela si ni ya maandalizi!! Haiwezi kutumika kuvunjia mikataba ya wachezaji.
Halafu hajaandika mil.700 ameandika Bil 7.(mil.7000)Acha upuuzi sawadogo mmemlipa pesa yake ipi? Usikurupuke kuongea kitu usichokijua, sawadogo atakuwa analipwa pesa yake kidogo kidogo kwa makubaliano maalum, acha wenge milioni 700 cash mngezinyea wapi
awana ndio mdudu gani?Simba wana zaidi ya bilioni 20 za maandalizi ya Super League,sasa ukisema Simba awana milioni 100 watu wanakuona zezetahira.
Wewe ni bwege pia. Wote hamjui makubaliano yao, mnaburuzwa na ushabiki wenu maandazi.Acha upuuzi sawadogo mmemlipa pesa yake ipi? Usikurupuke kuongea kitu usichokijua, sawadogo atakuwa analipwa pesa yake kidogo kidogo kwa makubaliano maalum, acha wenge milioni 700 cash mngezinyea wapi
We zuzu, Onyango ndiye aliyeomba kuondoka. Umeona wapi mtu anayeomba kuvunja mkataba analipwa?!Mchezaji amebakiza mwaka mmoja tu kuna sababu gani ya kumpeleka kwa mkopo?
Si umpe pesa tu za kuvunja mkataba wake ili akacheze kwa. Uhuru. Huko aendako.
Unashindwaje kumlipa mtu mil 100.
Milion 100 jamani nio ushindwe kwweli?
Ama kweli umasikini umewachapa wakati huu.
View attachment 2682090
Sawa make wa sawadogo tumekusikiaAcha upuuzi sawadogo mmemlipa pesa yake ipi? Usikurupuke kuongea kitu usichokijua, sawadogo atakuwa analipwa pesa yake kidogo kidogo kwa makubaliano maalum, acha wenge milioni 700 cash mngezinyea wapi