Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Leta chanzo chako cha habari ili uaminike, mtu pekee anayeweza kuaminika baada ya kusema haya uliyoyasema bila kuombwa chanzo ni mke wake tu ambae pengine waliyaongea chumbani.Acha upuuzi sawadogo mmemlipa pesa yake ipi? Usikurupuke kuongea kitu usichokijua, sawadogo atakuwa analipwa pesa yake kidogo kidogo kwa makubaliano maalum, acha wenge milioni 700 cash mngezinyea wapi
Mna vichwa vigumuSasa Bwashee, hiyo hela si ni ya maandalizi!! Haiwezi kutumika kuvunjia mikataba ya wachezaji.
Unamlipa mamilioni anaondoka badala ya kumuuza upate helaUlivunjwa wa sawadogo ml 7000 , sembuse ml 100!!! Akili za utopolo mnazijua wenyewe.
Anaitwa mdudu kifutuawana ndio mdudu gani?
Niliyem quote kitambo tu alishanijibu. Sasa wewe sijui imekuwaje bado unaweweseka.Mna vichwa vigumu
Wangekuwa na pesa wangeenda kununua Miqquisone na Adebayor.Simba wana zaidi ya bilioni 20 za maandalizi ya Super League,sasa ukisema Simba awana milioni 100 watu wanakuona zezetahira.
Kila kitu huenda kwa mahesabu na makubaliano.Halafu Tsh.100 milioni siyo shilingi kumi kama ulivyoandika kwa urahisi hivyo!Mchezaji amebakiza mwaka mmoja tu kuna sababu gani ya kumpeleka kwa mkopo?
Si umpe pesa tu za kuvunja mkataba wake ili akacheze kwa. Uhuru. Huko aendako.
Unashindwaje kumlipa mtu mil 100.
Milion 100 jamani nio ushindwe kwweli?
Ama kweli umasikini umewachapa wakati huu.
View attachment 2682090
Mbona umekazana aachiwe?Unavizia kitu gani?Mbona hamumuachii sasa, mpaka mkalaazimisha aende kwa mkopo?
Kwa sababu wewe ndiye mtoa fedha!Hamn jeuri ya kumlipa sawadogoo pesa yote kwa mkupuo mmoja.
Analipwa kimafungu mafungu kwa muda wa miezi 12.
Alikulalamikia kuhusu familia yake?Aachiwe akatafute maaslahi sehemu nyingine, ana familia yule.
Kumshindwa Adebayor nako ninmaahesabu.Kila kitu huenda kwa mahesabu na makubaliano.Halafu Tsh.100 milioni siyo shilingi kumi kama ulivyoandika kwa urahisi hivyo!
Changamoto yako unaendeshwa kwa hisia tu bila kujua jambo lolote.Kumshindwa Adebayor nako ninmaahesabu.
Kumsajili Sawadogo nayo utasema mahesabu.
Kumshindwa miqquisone nayo ni maahesabu.
Hali ngumu pale mtani.
Kramo na Onana wote ni free Agents.
KUMBUKA,yeye hajakulalamikia.Football ni kazi yake.
Muacheni akatafute maslahi maakubwa kwingine.