Ukatili dhidi ya Wajawazito unaweza kusababisha ajifungue Mtoto Njiti

Ukatili dhidi ya Wajawazito unaweza kusababisha ajifungue Mtoto Njiti

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
1_20210112_095518_0000.png


Ukatili kwa mwanamke mjamzito ni jambo la hatari kwani huongeza hatari ya kuharibika kwa mimba, uchungu wa kabla ya muda na kujifungua #MtotoNjiti au mwenye uzito pungufu.

Katika maeneo ya kazi Mama wajawazito na wanaonyonyesha wanapaswa kulindwa dhidi ya ubaguzi/unyanyapaa na dhidi ya kuwa katika mazingira hatarishi kwa afya zao.

Pia wanapaswa kutengewa muda wa kunyonyesha au kunywesha #Watoto maziwa yao yaliyokamuliwa.

Wapewe stahiki zao za likizo ya uzazi, uhakika wa ajira zao, mafao ya matibabu na msaada wa kifedha inapobidi
 
Upvote 1
Mimba isiyo na maandalizi ni hatari sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom