Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Kwa hiyo na wewe unakubali kwamba hawatumi yeye?Drc ataingia kama nani na yeye anadai wale m23 awatumi yeye na ni wakongo,aangalie alama za nyakati wazungu wakiingia sehemu awajionyeshi walivyokua awaonyeshi kama wanamtumia yeye kuiba congo,hawa wacongo vibe lao wana kitu nyuma yao kinawasapoti
Kinyarwanda hakishabihiiani na kiha Wala KihangazaNi Mpuuziiiiiii tu! Hizo ni story za kutunga. Kwa bahati nzuri kijana wangu mmoja anaoa Mnyambo. Kabla hajaoa nilifanya parental homework! Nawafahamu sana. Kinyambo hakioani na kinyarwanda ! Kinyarwanda kinashabihiana na kihangaza au Kiha. Kama ana ubavu anyoshe mkono
Anawatumia na ndio atakapoingia congo dunia itatambua kama ni yeye ndio chanzo cha vurugu congo,na yule tshesekedi ana ukaribu na mataifa ya magharibi,kitakachokuja siku za mbeleni huko wazungu wataiba madini kwa kushirikiana na serikali ya congo yenyewe na ndipo watakapowadump watu wa jamii ya pkKwa hiyo na wewe unakubali kwamba hawatumi yeye?
Wewe ni Mpuuziiiiiii, hujui kitu!Kinyarwanda hakishabihiiani na kiha Wala Kihangaza
Acheni utapeli
Kinyarwanda kinaingiliana na Kinyambo
Yaani Mnyambo ahitaji umtafisirie kinyarwanda kifupi hizi lugha Zina tawi Moja.
Kiha na kiangaza kina ingiliana na Kirundi kwa asilimia kubwa.
Kumbuka kihaya kina maingiliano makubwa na kiganda
Hata Omukama wa kihaya alikuwa chini ya chief wa Baganda kingdom.
Asante ila Kuna jamaa hapa amekwambia hata hapo Tabora Kuna eneo linaitwa Utusini.Wewe ni Mpuuziiiiiii, hujui kitu!
Sipotezi muda na wapuuzi! Mtu anayesema Kinyambo kinashabihiana na kinyarwanda ni mwendawazimu tuAsante ila Kuna jamaa hapa amekwambia hata hapo Tabora Kuna eneo linaitwa Utusini.
Sasa unapinga nini?
Mimi ambaye Karagwe naijua nje ndani na wewe mjinga mmoja unayepinga huku kila mtu ana kupinga.
Hongera popoma
Dunia inatambua siku nyingi tu kwamba m23 ni Kagame, walikuwa wanamfumbia macho tu. Hivi sasa, kutokana na sababu ambazo wao ndio wanazijua kiundani wameamua kumuonyesha kuwa hawamfumbii macho tena.Anawatumia na ndio atakapoingia congo dunia itatambua kama ni yeye ndio chanzo cha vurugu congo,na yule tshesekedi ana ukaribu na mataifa ya magharibi,kitakachokuja siku za mbeleni huko wazungu wataiba madini kwa kushirikiana na serikali ya congo yenyewe na ndipo watakapowadump watu wa jamii ya pk
Na anayepinga hana akiliSipotezi muda na wapuuzi! Mtu anayesema Kinyambo kinashabihiana na kinyarwanda ni mwendawazimu tu
Nelson Jacob Lushasi, rudi kwenu ukaone jinsi Kasri la Ntare Lushasi ririvokarabatiwa, utafurahi na roho yako
Nimejaribu kuwaambia mimi ni mnyambo ila kinyarwanda naelewa sababu koo za Wanyambo ni za kitusi pia!!!! Some people wakanibishia ila kiukweli upo sahii MsomiKinyarwanda hakishabihiiani na kiha Wala Kihangaza
Acheni utapeli
Kinyarwanda kinaingiliana na Kinyambo
Yaani Mnyambo ahitaji umtafisirie kinyarwanda kifupi hizi lugha Zina tawi Moja.
Kiha na kiangaza kina ingiliana na Kirundi kwa asilimia kubwa.
Kumbuka kihaya kina maingiliano makubwa na kiganda
Hata Omukama wa kihaya alikuwa chini ya chief wa Baganda kingdom.
Namuelezea tu historia sababu mababu zetu hawakua na mipaka!!!Mipaka waliweka wakoloni!!Mimi babu zangu waliingia karagwe miaka kama 400 hivi iliyopita!!!Sasa yeye alikua ananipa historia ya 1920 kuhusu Tanganyika ndio ikabidi nimueleweshe!!!!Mababu zangu walikuja karagwe karne nne nyuma mpaka leo!![emoji1787]Mkuu usiwe na wasiwasi. Unaogopa utaambiwa urudi nyumbani?
Sisi waTZ ni wakarimu sana, so usijibu kwa jazba
Kaka mimi kinyambo na kinyarwandwa naona vinafanana kama kihaya na kinyankole!!!Au watu wa karagwe watusaidie????Na anayepinga hana akili
Tatizo wazazi wako ni mnyarwanda, hivyo nyumbani kwenu mnaongea kinyarwanda na Kinyambo! Hivyo unadhani kila mtoto wa Kinyambo anajua kinyarwanda. Nikupe mfano mmoja. Ikama kwa kinyarwanda ni mungu na Kinyambo ni kiungo cha mwanamke? Hizo lugha zinashabihiana?Nimejaribu kuwaambia mimi ni mnyambo ila kinyarwanda naelewa sababu koo za Wanyambo ni za kitusi pia!!!! Some people wakanibishia ila kiukweli upo sahii Msomi
Hao wa tabora walikuja miaka ya 1960,s na 1970,s!!!!Ila koo za Wanyambo kule karagwe ni za karne na karne na zinashabihana na koo za Watusi wa kinyarwanda kwa kiasi flani!!!Wameingiliana kwa karne na karneMkuu,achana na huyo jamaa,hata hapa Tabora mjini wapo wengi, mpaka kuna sehemu inaitwa ututsini.
Hapana kaka tafuta mnyambo na mnyarwanda watusaidie natoka hili!!!!Wazazi wangu hasa mababu na mababu ni koo za Watusi na koo za kinyambo(Wafugaji wa ngombe zile zenye pembe ndefu) na wakulima wadogo wadogo zilizotokea upande wa falme za rwanda karne nyingi na zimechanganyika na wahaya na wanyankole pia walioleana miaka karne!!!Mimi nimekua nasikiliza lugha zote kinyarwanda,kinyankole,kihaya na kinyambo!!!!!!Kama wewe ni mnyambo wa karagwe kwa kuzaliwa utanielewa!!!!!Tatizo wazazi wako ni mnyarwanda, hivyo nyumbani kwenu mnaongea kinyarwanda na Kinyambo! Hivyo unadhani kila mtoto wa Kinyambo anajua kinyarwanda. Nikupe mfano mmoja. Ikama kwa kinyarwanda ni mungu na Kinyambo ni kiungo cha mwanamke? Hizo lugha zinashabihiana?
Hizo lugha zinaingiliana kasoro kinyaru kinaingiliana na kiha, rundi na hangazaHapana kaka tafuta mnyambo na mnyarwanda watusaidie natoka hili!!!!Wazazi wangu hasa mababu na mababu ni koo za Watusi na koo za kinyambo(Wafugaji wa ngombe zile zenye pembe ndefu) na wakulima wadogo wadogo zilizotokea upande wa falme za rwanda karne nyingi na zimechanganyika na wahaya na wanyankole pia walioleana miaka karne!!!Mimi nimekua nasikiliza lugha zote kinyarwanda,kinyankole,kihaya na kinyambo!!!!!!Kama wewe ni mnyambo wa karagwe kwa kuzaliwa utanielewa!!!!!
Asante msomi kwa kunisaidia mimi ni mnyambo waliochanganyika na koo za Watusi ila naelewa lugha zote kuanzia kinyambo,kihaya,kinyarwanda,kinyankore na kiangaza!!!But some people wanakataa wakati sio Wanyambo wala WahayaHizo lugha zinaingiliana kasoro kinyaru kinaingiliana na kiha, rundi na hangaza
Ulianza vizuri Ila umekosea mwisho , uku Congo akuna Kabila linaloitwa wanyamurengeWanyamlenge hawana mfanano hata kidogo na watusi wala wahutu wala wakongo wenyewe...!
Ukioneshwa mnyamlenge una weza shtuka... kwa kuwa wao kwa muonekano wao na walipo ni tofauti...
Kama tunavyo washangaa waarab na wahindi au wazungu ktk jamii ya watu weusi...
Au wasomali ktk jamii ya waha au wachaga, wahaya...
Weka taarifa yako vyema,
Mimi nime washuhudia wanyamlenge katk kambi za wskimbizi kigoma, na nilipo pishana nao, nikaenda ofisini kuuliza, watu wenye muonekano fulani wakina nani? Wana fanya nini kambini? Nikajibiwa ni wanyamlenge, nikapata majibu sikuwa na swali tena
Waeleze vyema, hao waliopo pichani sio wanyamlenge ni tusi na kagame aliwataka warejee nyumbani...
Wamyamlenge kwao congo sio burundi wala rwanda
Rwanda na burundi kuna makabila mawili, wahutu na watusi na wana zungumza lugha moja ambayo ukienda burundi inaitwa kirundi, ukienda rwanda ina itwa kinyarwanda na ukienda kagera inaitwa kiangaza, pia ukienda kigoma inaitwa kiha...
Kongo kuna wabembe wamanyewa hao wanyamlenge na makabila mengine... hakuna watusi wala warundi, ukiwaona basi ni wavamizi...
Wale Watusi waliolowea kwa karne nyingi milima ya mulenge unawaitaje??????Wanyamlenge hawana mfanano hata kidogo na watusi wala wahutu wala wakongo wenyewe...!
Ukioneshwa mnyamlenge una weza shtuka... kwa kuwa wao kwa muonekano wao na walipo ni tofauti...
Kama tunavyo washangaa waarab na wahindi au wazungu ktk jamii ya watu weusi...
Au wasomali ktk jamii ya waha au wachaga, wahaya...
Weka taarifa yako vyema,
Mimi nime washuhudia wanyamlenge katk kambi za wskimbizi kigoma, na nilipo pishana nao, nikaenda ofisini kuuliza, watu wenye muonekano fulani wakina nani? Wana fanya nini kambini? Nikajibiwa ni wanyamlenge, nikapata majibu sikuwa na swali tena
Waeleze vyema, hao waliopo pichani sio wanyamlenge ni tusi na kagame aliwataka warejee nyumbani...
Wamyamlenge kwao congo sio burundi wala rwanda
Rwanda na burundi kuna makabila mawili, wahutu na watusi na wana zungumza lugha moja ambayo ukienda burundi inaitwa kirundi, ukienda rwanda ina itwa kinyarwanda na ukienda kagera inaitwa kiangaza, pia ukienda kigoma inaitwa kiha...
Kongo kuna wabembe wamanyewa hao wanyamlenge na makabila mengine... hakuna watusi wala warundi, ukiwaona basi ni wavamizi...
Wale Watusi waliolowea kwa karne nyingi wa milima ya mulenge unawaitaje??????Wanyamlenge hawana mfanano hata kidogo na watusi wala wahutu wala wakongo wenyewe...!
Ukioneshwa mnyamlenge una weza shtuka... kwa kuwa wao kwa muonekano wao na walipo ni tofauti...
Kama tunavyo washangaa waarab na wahindi au wazungu ktk jamii ya watu weusi...
Au wasomali ktk jamii ya waha au wachaga, wahaya...
Weka taarifa yako vyema,
Mimi nime washuhudia wanyamlenge katk kambi za wskimbizi kigoma, na nilipo pishana nao, nikaenda ofisini kuuliza, watu wenye muonekano fulani wakina nani? Wana fanya nini kambini? Nikajibiwa ni wanyamlenge, nikapata majibu sikuwa na swali tena
Waeleze vyema, hao waliopo pichani sio wanyamlenge ni tusi na kagame aliwataka warejee nyumbani...
Wamyamlenge kwao congo sio burundi wala rwanda
Rwanda na burundi kuna makabila mawili, wahutu na watusi na wana zungumza lugha moja ambayo ukienda burundi inaitwa kirundi, ukienda rwanda ina itwa kinyarwanda na ukienda kagera inaitwa kiangaza, pia ukienda kigoma inaitwa kiha...
Kongo kuna wabembe wamanyewa hao wanyamlenge na makabila mengine... hakuna watusi wala warundi, ukiwaona basi ni wavamizi...