Ghazwat JF-Expert Member Joined Oct 4, 2015 Posts 23,718 Reaction score 66,267 Apr 6, 2018 #1 Kwa mara nyingine Idara ya polisi nchini Kenya, imejipata pabaya kuhusu utumiaji wa nguvu kupita kiasi, katika kukabiliana na washukiwa wa uharifu. Katika picha afisa wa polisi akionekana akifanyia unyama kwa kumuadhibu visivyo mwanamume mmoja eneo la viwandani mjini Nairobi.
Kwa mara nyingine Idara ya polisi nchini Kenya, imejipata pabaya kuhusu utumiaji wa nguvu kupita kiasi, katika kukabiliana na washukiwa wa uharifu. Katika picha afisa wa polisi akionekana akifanyia unyama kwa kumuadhibu visivyo mwanamume mmoja eneo la viwandani mjini Nairobi.
Madrid boy JF-Expert Member Joined May 21, 2017 Posts 895 Reaction score 615 Apr 6, 2018 #2 Du Africa [emoji16] [emoji22] [emoji22] Police brutality
Mdomo bakuli JF-Expert Member Joined Jan 7, 2017 Posts 3,442 Reaction score 7,007 Apr 6, 2018 #3 Africa!! Same style same fuckin cops
Ghazwat JF-Expert Member Joined Oct 4, 2015 Posts 23,718 Reaction score 66,267 Apr 6, 2018 Thread starter #4 Utendaji kazi wa polisi haujaimarika kwa raia Afrika. Askari achukuliwe hatua kali
From Sir With Love JF-Expert Member Joined Sep 13, 2010 Posts 2,076 Reaction score 3,813 Apr 6, 2018 #5 Sitetei lakini nchi kama Kenya jambazi akimwahi askari anamumaliza.
Ghazwat JF-Expert Member Joined Oct 4, 2015 Posts 23,718 Reaction score 66,267 Apr 6, 2018 Thread starter #6 From Sir With Love said: Sitetei lakini nchi kama Kenya jambazi akimwahi askari anamumaliza. Click to expand... Jambazi kwa yeyote ambaye anaona atamletea madhara anamuua. Lakini askari wa kiafrika wamezidi ukatili aisee
From Sir With Love said: Sitetei lakini nchi kama Kenya jambazi akimwahi askari anamumaliza. Click to expand... Jambazi kwa yeyote ambaye anaona atamletea madhara anamuua. Lakini askari wa kiafrika wamezidi ukatili aisee