Ni kama ukatoliki ulivyojaa Somalia.ndio maaana hakuna utulivu nchi yoyote ikijaa sana ukatoliki lazima machafuko yatokee eg Rwanda, CAR na huko Congo.
basi hapo kawaambia wakimbeba ndipo watapata baraka za bwana hahahaaaa
Somalia hakuna ukatoliki bali Waamerica ndio walioiharibu nchi kwa kumtoa kiongozi wa watu na kumpandikiza wanaomtaka wao hatimaye nchi haitulii. bila shobo za America pangekuwa shwari pale. cheki Libya kwanza nani kaharibuNi kama ukatoliki ulivyojaa Somalia.
Somalia hakuna ukatoliki bali Waamerica ndio walioiharibu nchi kwa kumtoa kiongozi wa watu na kumpandikiza wanaomtaka wao hatimaye nchi haitulii.
Umeulizwa Somalia unajibu Congo. Wewe lazima utakuwa mkimbiziPatrice Emery Lumumba, Tena Wabelgiji walikuja kuomba radhi kwa mauaji ya Lumumba na kutotulia kwa siasa za Congo 1961
Kuna mdau hapo juu kaizungumzia somalia...soma vizuri mkuu kabla ya ku comentPatrice Emery Lumumba, Tena Wabelgiji walikuja kuomba radhi kwa mauaji ya Lumumba na kutotulia kwa siasa za Congo 1961
Umeulizwa Somalia unajibu Congo. Wewe lazima utakuwa mkimbizi
Kuna mdau hapo juu kaizungumzia somalia...soma vizuri mkuu kabla ya ku coment
Somalia na Congo wapi pana unafuu?ndio maaana hakuna utulivu nchi yoyote ikijaa sana ukatoliki lazima machafuko yatokee eg Rwanda, CAR na huko Congo.
basi hapo kawaambia wakimbeba ndipo watapata baraka za bwana hahahaaaa