Hata hao no sealed majanga matupu maana oil seal zinavujisha oil hatari
Makubwaaa...
Si umesema mwenye K anasema inakuwa tamu zaidi? Ndo mnato huo!Sina uhakika kama ukavu ndo mnato wenyewe
Si umesema mwenye K anasema inakuwa tamu zaidi? Ndo mnato huo!
na wewe bado?
MziziMkavu nakuomba
Siongelei dini hapa.........
We unazungumzia wanandoa kutumia condom!!!!
Home Remedies for Vaginal DrynessHabari zenu wana jamvii.
Me nina swali jamani, nikinywa kilevi wakati ninataka kusex na shemu wenu ute unakata na papuchi inakuwa kavu zaidi.
Je ni ugonjwa?