[h=3][/h]
Poor Lowasa tofauti kati ya ICC na ICJ , ICC ni international criminal court lakini ICJ inahusu migogoro kati ya nchi moja na nchi nyingine ambao ni member Wa UN
Tunachotaka ni ukweli ujulikane. sio lazima CDM wapewe ushindi kwa sababu sheria iliyopo ni kandamizi na hairuhusu kurudiwa matokeo. lakini jamii ifahamu kuwa CCM haikushinda kwenye Kura za wananchi. Hii itawaaibisha na kutengeneza mazingira bora ya uchaguzi.