Elections 2015 UKAWA ni Genge hatari kwa amani, utulivu na maslahi mapana ya Tanzania


we na mumeo wote mchepuko
 
Liwalo na liwe,wananchi washalishwa unga wa ndwele hakuna namna, huu ujinga wa kuwapumbaza wananchi limefika kikomo, bye bye ccm
 

rubbish,poor
 
ningekuona mtu wa maana ka ungekuwa unautaarfu umma ubadhilifu wa chama cha mapinduz kilichowafunga wananch kwenye miamba ya umaskin,,watoto wa wapiga kura wanashindia mlo mmoja matumbo yamewavimba ka mimba ya mbuz huk utajr wa nch unatumika kujenga majumba ya kifahal nje ya mipaka ya tanzania na,magar ya kifahal..haya ndo mambo ya kuwambia wananch na sio kuleta ushabik na hisia.STOP EXISTING START LIVING
 
We faizafoxy wee, hebu sikiliza hotuba za magufuli wakati huu wa kampeni ndo utajua raisi wako mtarajiwa akiongea kiswahili, mbona humkosoi, kwenye r anaweka l, lakini tunanyamaza tunaelewa kakusudia nini,

Hilo la Magufuli nimeshalijubu humu humu JF, tafuta jibu, utalikuta.
 
Tafadhar mkuu tunaomba usituvurugie aman yetu kwa kuleta umbeya na maneno ya kichonganishivhum ndan nyinyi ndio wale mnaotumika vibaya kuichafua UKAWA muwe na aibu jaman kuwen na hofu ya Mungu kwa maneno yenu ya kijinga...
 
Mawazo hayo ndio Democracia unahaki ya kuandika kilichopo ndani ya Ubongo wako kwa ajili ya lengo lako
 
Ungesema kwa Maslahi Mapana ya MaCCM Watanzania Wangekuelewa. CCM ya Leo No Kirusi Hatari Sana...Hatudanganyiki Tunakwenda Name Mh. Lowassa Hanna Namna Iwayo yoyote.

Vijana tumezid mihemko,tutafakari na tusiwe na akili za kufilikiwa. Nilishangaa waliposema ajira milioni 10. Ulaya kwenyew wana tatizo la ajira.
 

Mkuu umenena,mi siwezi kushabikia kitu ambacho sikielewi kabisa.. Vijana baada ya kufanya kazi hivi unafikiri atakusaidia ww. Hamtaki shule angalia current situation ya wanafunzi wetu. Elimu bure pesa anazitoa wapi.?Elimu ya chuo ni gharama tofauti na level za O level.Tafakari mtanzania na ufanye maamuzi sahihi.
 
vijana wa ccm wote timamu!!!wamejengwa hivyo kwani lazima kila kitu uhoji!!!c cdm chama cha mtu!!!!ukisema ohoo nenda lumumba!!!!!tafakalini kabla ya kuchukua hatua!!!taifa kwanza utapel wenu baadae
 
Hii nchi ni ya watz kwaiyo chama chochote kina haki ya kuongoza taifa ,hakuna chama chenye hatimiliki ya kuongoza taifa hili milele
 
Mtoa mada ni kweli unachosema lakini mm sitak kuona hz rang mbl k..... Na n.....,kura yangu kwa Mabadilikooooooooooooooooooooo!!!
 

Hela za mashangingi na za xkro zingewekwa kwny Elm ingekuaje,acha kupotosha umma
 
Kwa kweli kuna watu wajinga sana duniani post gani hii unaweza kuiweka kwenye mitandao ya kijamii? Poor post never seen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…