Elections 2015 UKAWA ni Genge hatari kwa amani, utulivu na maslahi mapana ya Tanzania

hapa unatetea genge lenu au vp! hii parapata na mdomo mrefu unajipendekeza kwa nani, unamshutumu kila wa ukawa, wewe na genge lenu mnautakatifu gani! ni juzi tu jizi lililokomaa ati ni mwenyekiti ktk kamati ya bunge kwa wakati mrefu nchi hii ni ya maigizo lkn siku kweli itaposimama mtaumbuka wengi na hapo ndio maendeleo yatapokuja lkn kwa mtindo huu wakupinduwa matokeo kwa maslahi binafsi hatwendi popote.
 
Sio kweli ni genge hatari huo sema ni mtazamo wako Mtoa mada mi nachojua watanzania wengi hawapendi kuambiwa unwell ndicho ukawa wanachokifanya
 
Mimi nina uhakika tume ingekua huru CCM hisingekua ikulu sasa hv.Dawa yenu katiba ya warioba.
 
Mi naona hakuna amani hiki ni kisiwa cha uvumilivu
 
Sio kweli ni genge hatari huo sema ni mtazamo wako Mtoa mada mi nachojua watanzania wengi hawapendi kuambiwa unwell ndicho ukawa wanachokifanya


HII NDIYO CCM na ugaidi wao



 
Last edited by a moderator:
mkuu maneno meeengi lakini hakuna hoja zaidi ya majungu na mipasho. ukawa ni tishio kwa maslahi mapana ya ccm na familia zao. mwaka huu twende na lowasa...
Muwe mnafikiria kabla ya kupost
 
nenda ukatafute bangi uvute
 

Tatizo bangi zenu mnavutia chooni kichwa kinajaa kinyesi
 
vipi kuhusu yule jamaa anaeagiza watu watumbukizwe visimani ?
 
grngre grengre Sasa ni dhahiri kuwa Ukawza ni genge la wakwepa kodi na sasa wala ngada
 
pale muembe yanga ndipo ilipo zaliwa ukawa ILIKUWA CCM yote hayo yalitajwa.watanzania ni wepesi kusahau ya nyuma.ndo maana hata historia zetu hatuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…