UKAWA ni vyama vyote vya upinzani isipokuwa Mrema na Zitto!

UKAWA ni vyama vyote vya upinzani isipokuwa Mrema na Zitto!

Kaguta

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2013
Posts
414
Reaction score
504
Zitto amenukuliwa na gazeti la Mtanzania akipinga msimamo wa UKAWA na huku Mzee Mrema akiwa amekataa wazi wazi kujiunga na umoja huo.

Zitto amekwisha kiasi hicho? Au kama kawaida yake anataka kuonekana tofauti? Ameogopa siri za vikao zisivuje akanyooshewa yeye vidole? Ana masirahi na msimamo wa chama tawala? Ameogopa kukutana uso kwa uso na 'wabaya' wake? Au kwa sababu hana chama?

Kama kawaida yangu nitamtaka na kumshinikiza Zitto kutolea baadhi ya mambo hasa yanayomuhusu yenye masirahi kwa taifa. Karibu Mh Zitto!
 
hivi huyu Zitto yupo katika bunge la katiba....?
 
Last edited by a moderator:
What is UKAWA? Una tija kwetu? Je kanuni zaiansemaje? Vyama binafsi vina provisions za kujiunga na hiyo UKAWA? (ambao obvisous HAUTAKUWA).....

Hebu tumuache ZITTO, tuanalyze anguko la CHADEMA na failure ya siasa za majitaka


Zitto amenukuliwa na gazeti la Mtanzania akipinga msimamo wa UKAWA na huku Mzee Mrema akiwa amekataa wazi wazi kujiunga na umoja huo.

Zitto amekwisha kiasi hicho? Au kama kawaida yake anataka kuonekana tofauti? Ameogopa siri za vikao zisivuje akanyooshewa yeye vidole? Ana masirahi na msimamo wa chama tawala? Ameogopa kukutana uso kwa uso na 'wabaya' wake? Au kwa sababu hana chama?

Kama kawaida yangu nitamtaka na kumshinikiza Zitto kutolea baadhi ya mambo hasa yanayomuhusu yenye masirahi kwa taifa. Karibu Mh Zitto!
 
Lakini ni demokrasia yake. Siyo lazima wote wawe UKAWA. Natumaini wapo CCM wengi wanasupport UKAWA kwa kuwapa yale yanayoamuliwa kutoka huko kwenye vikao vyao vya SIRI.
 
Zitto amenukuliwa na gazeti la Mtanzania akipinga msimamo wa UKAWA na huku Mzee Mrema akiwa amekataa wazi wazi kujiunga na umoja huo.

Zitto amekwisha kiasi hicho? Au kama kawaida yake anataka kuonekana tofauti? Ameogopa siri za vikao zisivuje akanyooshewa yeye vidole? Ana masirahi na msimamo wa chama tawala? Ameogopa kukutana uso kwa uso na 'wabaya' wake? Au kwa sababu hana chama?

Kama kawaida yangu nitamtaka na kumshinikiza Zitto kutolea baadhi ya mambo hasa yanayomuhusu yenye masirahi kwa taifa. Karibu Mh Zitto!

Hapo huhutaji kamusi kuwajua wote wawili ni kina nani. WOTE hao Ni MAPANDIKIZI ya CCM
 
hivi huyo zzk ni zaidi ya katiba? nashangaa kuona munamjadili zitto badala ya kujadili katiba kwa manufaa ya taifa letu!!!.
hebu tuacheni siasa za kuvuana Chupi.
 
hivi huyo zzk ni zaidi ya katiba? nashangaa kuona munamjadili zitto badala ya kujadili katiba kwa manufaa ya taifa letu!!!.
hebu tuacheni siasa za kuvuana Chupi.

wamekuvua mkuu!!!! tupe kinachoendelea,

eenh!!!!!

enheee!!!

mbona huonyeshi kama umesalimika.
 
Tumechoka na tabia zake za kindumilakuwili, aje atoe msimamo wake. Wenzake wameunda umoja kwa maufaa ya taifa yeye anawapuuza ndo kusema yeye ana akili kuliko watu wote hao? Na hicho ndo kilimponza Chadema kujiona bora kuliko wengine!
 
Lakini ni demokrasia yake. Siyo lazima wote wawe UKAWA. Natumaini wapo CCM wengi wanasupport UKAWA kwa kuwapa yale yanayoamuliwa kutoka huko kwenye vikao vyao vya SIRI.
Ccm hawawezi kuwa wana UKAWA kwa kuwa hawana interest na katiba ya wananchi wa kawaida wa tanzania.Pia hii UKAWA ni pigo kwa ccm kwa kuwa wao waliringia umoja wao ktk chama huku wakichekelea kutokuwepo kundi jingine,sasa hawaamini yanayotokea ktk huu umoja wa UKAWA
 
Zitto amenukuliwa na gazeti la Mtanzania akipinga msimamo wa UKAWA na huku Mzee Mrema akiwa amekataa wazi wazi kujiunga na umoja huo.

Zitto amekwisha kiasi hicho? Au kama kawaida yake anataka kuonekana tofauti? Ameogopa siri za vikao zisivuje akanyooshewa yeye vidole? Ana masirahi na msimamo wa chama tawala? Ameogopa kukutana uso kwa uso na 'wabaya' wake? Au kwa sababu hana chama?

Kama kawaida yangu nitamtaka na kumshinikiza Zitto kutolea baadhi ya mambo hasa yanayomuhusu yenye masirahi kwa taifa. Karibu Mh Zitto!

Hao pamoja na mwenzao Shibuda ni wabunge wa CCM kupitia vyama vya upinzani!
 
Hawa UKAWA wakisimama hivi hivi wanachukua nchi 2015.
 
Kwa mujibu wa gazeti la Leo la Mwananchi, vyama visivyokuwa na wabunge Bungeni vimenazisha umoja wao na kukutana na Waziri Mkuu ambaye amewaimiza wawe kitu kimoja! Je hawa nao bado ni UKAWA?
 
Back
Top Bottom