UKAWA tusimamishe matangazo ya Katiba kwenye tv,

UKAWA tusimamishe matangazo ya Katiba kwenye tv,

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kama tumekubaliana akuna kupigakura basi simbaya mkaenda mahakamani kusimamisha haya matangazo machafu ya katibayao maana si katiba iliokubaliwa na kujumuisha wananchi,badala ya kusubiri tu kukataza watu kupiga kura,,,
 
Nimesikia tangazo kuwa wanaotaka kuzungumzia katiba pendekezwa lazima wajiandikishe kwa tume ya uchaguzi wakionyesha ratiba ya shughuli ya kuzungunzia katiba. wale wote ambao hawatakuwa na vibali hawaruhusiwi kuongelea katiba .
Hili ni suala bovu sana, yaani mimi mwananchi napewa masharti ya kuongelea katiba yangu! Nikitaka kuiongelea nitoe taarifa kwa tume ya uchaguzi! Hakika hikini kituko cha karne (kumbuka tume inayo mamlaka ya kukupa au kutokupa kibali)
 
kwa kweli haiko sawa kwani imeegemea upande mmja hvyo UKAWA tunayo nafasi ya kukataa kupiga kura
 
Kama tumekubaliana akuna kupigakura basi simbaya mkaenda mahakamani kusimamisha haya matangazo machafu ya katibayao maana si katiba iliokubaliwa na kujumuisha wananchi,badala ya kusubiri tu kukataza watu kupiga kura,,,

Sasa kama haiwahusu ninyi UKAWA, kelele za nini? Pilipili ya shamba........?

Tuachieni wazalendo tunaojua umuhimu wa Amani,utulivu,mshikamano na Utawala wa Katiba tuichakate na kuipitisha.
 
Sasa kama haiwahusu ninyi UKAWA, kelele za nini? Pilipili ya shamba........?

Tuachieni wazalendo tunaojua umuhimu wa Amani,utulivu,mshikamano na Utawala wa Katiba tuichakate na kuipitisha.

Mpaka sasa siwaelewi kabisa ukawa kwanza mnamisimamo miwili isiyoeleweka mara mseme servants wenu WASIPIGE KURA mara wapige kura ya HAPANA. Kati ya hayo mawili lipi mmesimamia? Lakini niseme hakuna kitu kibaya kama kulikosea adabu taifa, kwani kwa dalili zinazoonekana mko tayari kupiga tindo jahazi tulilopanda wote alimradi tufe wote na sielewi hii jeuri mmeifikiaje. Kitendo cha kukimbia mchakato tayari ni tatizo kubwa na dhamira ya kuwagawa watanzania ndo kitu kibaya zaidi.
 
Sasa kama haiwahusu ninyi UKAWA, kelele za nini? Pilipili ya shamba........?

Tuachieni wazalendo tunaojua umuhimu wa Amani,utulivu,mshikamano na Utawala wa Katiba tuichakate na kuipitisha.

mnatumia mabilion kupitisha kitu ambacho mlishakipitisha Lumumba... au mnamudanganya nani?
 
Mpaka sasa siwaelewi kabisa ukawa kwanza mnamisimamo miwili isiyoeleweka mara mseme servants wenu WASIPIGE KURA mara wapige kura ya HAPANA. Kati ya hayo mawili lipi mmesimamia? Lakini niseme hakuna kitu kibaya kama kulikosea adabu taifa, kwani kwa dalili zinazoonekana mko tayari kupiga tindo jahazi tulilopanda wote alimradi tufe wote na sielewi hii jeuri mmeifikiaje. Kitendo cha kukimbia mchakato tayari ni tatizo kubwa na dhamira ya kuwagawa watanzania ndo kitu kibaya zaidi.

Awa jamaa(UKAWA) wanazidi kujidhalilisha. Pyepyepye nyingiiiiii. Ndo maana Watanzania wanawakwepa na katu hawajikupewa Kura za kutosha. Ni watu waovyo na vurugu tu.

Umeongea vyema. Yaan as for them, Bora tukose wote.
 
Back
Top Bottom