Uke kuziba wakati wa kusex

Hiyo ni PROTECTIVE MECHANISM ya mwili kuzuia kitu ambacho hakipo tayari nacho(uume) kwa wakati huo..Ipo controlled Physiologically, Psychologically na Anatomically..
Thats why UKIBAKA unasababisha madhara makubwa kuliko yanayoonekana..
Ushauri; Kama hataki mwache usimlazimishe
 
Huyo ni mwanamke mwenye jamii ya wenye visimi virefu ambavyo huviingia ukeni hadi wavipakue ndiyo unaweza kuingiza
 
Tatizo ni maandalizi....tendo la ndoa linahitaj maandaliz na maridhiano baina ya wahusika....km mmoj wapo hayupo psychological well kufany hilo tendo hakun kitachofanyika...jaribu kukaa na kumuuliz kwann hapnd ....pengin humuandai ipasavyo hivyo anaumia na ndo maan hatak ....jitahd kumuandaaa vya kutosha
 
yani wew bado uko chekechea
wahuni wakikushtukia lazima uibiwe somo la mahaba una -0.00000
 
Psychologically anakuwa hayuko tayari kufanya hilo tendo na ule ute (natural lubricating jelly) hutoka kutonaka na mawasiliano ya ubongo na viungo vya uzazi. Ukimlazimisha ni kama unambaka jaribu kutafuta tatizo nini kwa yeye kukataa.
Noted!
 

Una uhakika ana uke, isije kuwa ana
"rokitansky kuster hauser syndrome"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…