Uke mkubwa kwa under 20yrs unasababishwa na mini?

Watu wanajifariji tu ila matatizo haya yapo sana kwa wanawake,
 
Sidhani kama unaweza kurudi kama mwanzo ulivokuwa kabla ya kuzaa. Kuna utofauti fulani baada ya kupitisha mtoto.

Wewe usitake kushindana na mungu.....halafu mtoto atokei nje anatokea ndani wewe....ule kama mtego wa panya ulivo...
 
Tatizo hilo ni la maumbile kama ilivo kwa aina ya vilema mbali mbali.....
Pornoghaphia imetuathili sana ndio maana wengi atukubaliani na hali halisi wacheza porno ni waigizaji so lazima wafanyiwe auditions ya kuchaguliwa.
Ndio maana tunapokutana na K tofauti inakuwa ishu sana....

Labia majora na labia minora zinapotokeza kwa nje ndio zinawafanya watu waone ni tofauti but lipo kwa 80% ya wanawake na sio kwamba eti ni kutoka na wanaume wengi la hasha kuna wengine ni mabikira but wana outer labia majora problem.... So sio ishu sana.
 
Umesoma Kichwa Cha Threads Kama Kinavyosema

nimesoma na kuelewa ila nimeona tuanzie hapo maana kama vile ndio chanzo cha tatizo. Mtu na tubamia chake na yeye anataka abanwe. Nway tek it izeee
 
You guys. Yani mnawafanya watu wawe na low confidence wakati wa kukutana na wenzi wao kwa mara ya kwanza. Ooh, mara K kubwa mara vibamia...!
 
Binafsi huwa sifurahii dem anae banabana uke wake.napenda nicheze niwezavyo hadi nigonge kwa sana goroli za uke mule ndani.bila kugonga kitu mule ndani sikojoi ng'o matokeo yake mwanamke lazima alalame anaumia
 
Hakunaga k kubwa hana no mtumiaji tu so makini. Pia no his is zako tu
 
hilo kwel lipo but kuna mama mmoja alikuwa anotaga mafunxo kwa njia ya blog ila blog yake imefungiwa
 
K ndogo, M kubwa (kM) ni valid! Viceversa is invalid. Duh
 
Siku hizi unakuta eti wadada wanapenda kuzaa kwa njia ya operesheni, kisa wanaofia kwamba wakizaa kwa njia ya kawaida eti k itakuwa kubwa, wala si kweli. Hawajui kuwa kuzaa kwa njia ya operesheni ni very risk na mungu kafanya vile kwa sababu maalumu, ukizaa kwa njia ya kawaida k urudi katika hali yake ya awali, msiwe na mawazo potofu.
 
Mimi nimeona kwa sasa nna mtoto wa miezi saba mke wangu alienda kujifungulia kwetu alikaa huko miezi mitatu alivyorudi sikuona tofauti yeyote na hata sasa sioni tofaut na kabla hajazaa so from my own experience sikubali kwamba kuzaa kunasababisha uchi uwe mkubwa....lazima tukubali kwamba vibamia vimezidi hasa kutokana na tabia ya kutahir watoto mapema.. Lazima tukubali kuangalia matatizo pande zote ukiona suruali haikutoshi sio tu kwamba suruali ni kubwa tu ila na wewe umezidi wembamba

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…