KERO Ukerewe: Michango imezidi Shule ya Sekondari Irugwa, pesa ya captation inafanya kazi gani?

KERO Ukerewe: Michango imezidi Shule ya Sekondari Irugwa, pesa ya captation inafanya kazi gani?

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kero yangu:

Shule ya Sekondari Irugwa inawataka wanafunzi wanaoripoti kidato cha kwanza kwenda na Rimu 1, pia mwanafunzi anapofika kidato cha 3 anapeleka tena Rimu.

Bado kuna michango kama vile hela ya maji na dawa ya choo. Je, hela ya captation inayotolewa na serikali inafanya kazi gani?

Wakati kuna baadhi ya shule kwenye hela ya Captation kuna fungu kwa ajili ya kuprinti mitihani?

Hili Jambo limekuwa endelevu utokana na shule kuwa kisiwani na wazazi kutofahamu chochote kuhusu haki zao za msingi na kuogopa watoto wao kupata vitisho endapo mzazi ataongonea hiyo michango.

Mimi ni mhanga moja wapo cha suala hili.

Naomba jamiiforum utusaidie kupaza sauti
 
Yego mulawe ebu twambie michango ipi na ipi kwako n kero swala la limu n mchango wa kawaida kusaidia walimu wakati wa kurudufu mitihani ya midterm, terminal, Annual je hela ya mtihani mnatoa kwa ajili ya mitihani ipi ? Kama n mitihani ya Midterm, terminal, Annual basi walimu wanakosea sana hyo mitihani mwalimu mkuu anapaswa kutoa kwenye Ruzuku inayoletwa na serikali kama n mitihani ya weekend, au mwisho wa mwezi mitihani ya mazoezi basi sio mbaya wazazi mkachangia uchapaji wa hyo mitihani kwa hyo mtoa maada twambie michango unayo lalamikia n ipi ili tuone shida iko wapi, maana N Elimu bila Ada na wala sio Elimu bure kwa hyo msichanganye hapo n lazma wazazi muwajibike kulipia Elimu ya watoto wenu. Wakerewe tunapenda sana elimu kwa hyo tuendelee kuimiza watoto wa huko nyumbani wapende kusoma kwa bidii tusiwaache wajiingize kwenye uvuvi tu

Yego enikutegelesha ili chilole liswala lyao
 
Mwalimu Yoyote Atakayemchangisha Mwanafunzi Mchango
Ajihesabu Siku Hiyo Hiyo Hana Kazi, Sitaki Kusikia Mwalimu Ameshika Pesa. Wewe Waziri Umenisikia.....

By Mzilankande




Mtanikumbuka Siyo Kwa Mabaya Lakini Mazuri Tu
 
Elimu gharama mkuu, alie kwambia elimu bure hakutakii mema
 
Mmh... rimu ya elfu 12 tu,tena kwa ajili ya mtoto wako,ndiyo inakutoa povu hivyo?
Acha hizo, changia elimu ya mwanao.
Unafikiri serikali ina uwezo wa kukusomeshea kwa 100%?
 
Lipa, wakati unalipia chumba cha gesti mlikuwa mnapiga yowe kwa mahaba, nani akulelee mwanao, mwana wasu! Masologo manyege chikaka
 
Kama una uwezo wa kulipia lipa kama huna tulia tu hakuna mwalimu atafukuza mwanao huko serikalini
 
Back
Top Bottom