Uki-graduate chuo umepigana na vita dhidi yaUjinga sio umaskini

The redemeer

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2025
Posts
1,497
Reaction score
2,681
Mtaa unakusubiri_ bahati mbaya ni kuwa mtaa haujui kutofautisha kati ya msomi na ambaye hajasoma
Mtaa lazima umpitishe Kila mtu kwenye tanuri la moto.
Ukienda dukani unaonyesha pesa na sio vyeti.
Maisha yanataka ujuzi na sio vyeti.
Vyeti ni mwanzo tu na sio mwisho
 
Ni kweli kabisa, maana hata ukipata kazi bado unahitaji kujifunza kutoka kwa wafanyakazi waliokutangulia ili nawe upate ujuzi.
 
Kazi kipimo cha utu mchagua jembe
 

Attachments

  • FB_IMG_1739518153569.jpg
    61.7 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…