Ukiacha body Toyota Noah nini kingine shida?

Ukiacha body Toyota Noah nini kingine shida?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Hizi Toyota Noah za namna hii watu wamekuwa wakilalamika sana kuhusu body yake kuwa si imara. Actually hii ni gari ya mizunguko ya town si ya kwendea shamba.

images (2).jpeg


Ukiacha malalamiko ya kuwa Body yake ni nyanya nini kingine tatizo kwa gari hii? Kuna ndugu yangu anataka inunua kama gari ya family. Ategemee nini?pia kwà safari za mwisho wa mwaka anataka awe anaitumia hii na familia yake.
 
Body sio imara kwani mnagongesha kwenye ukuta?

Mbona me naona lipo poa tu.

Okay, Noah zina generations mbalimbali so chagua mwaka kabisa ndio tutakua specific.

Hafu, cheki na Alphard naona imekaa vizuri.
 
Sijawahi kuona inadumu aina hii ya Noah.
Unajua kuna gari fulani somehow inatokea zinaendeshwa na watu wengi ambao ni rafu! Mfano Noah,IST sasa kukuta gari hizi ziko kwenye hali mbaya ni kawaida sana.
 
Body sio imara kwani mnagongesha kwenye ukuta?

Mbona me naona lipo poa tu.

Okay, Noah zina generations mbalimbali so chagua mwaka kabisa ndio tutakua specific.

Hafu, cheki na Alphard naona imekaa vizuri.
Nyepesi sana haifai kwa safari ndefu
 
Ipo vzur shida ni iyo mirango yake ya umeme ya ku slide kuna mufa uwa inazingua
 
Back
Top Bottom